Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hahaa wewe jamaa akili yako unaijua mwenyewe,Usiseme ni pumba, someni hata mpate ufahamu. Kakobe sio Mkatoliki ambao unawatukana kila siku, naye kasema yake kuhusu SABATO. Kukopi sio dhambi, muhimu ni kujifunza.
Kakobe ni mpiga dili.kama wengine, yeye karithi tu kutoka Lutheran ,
Martin luther muanzilishi wa kanisa la kiruther hakuwahi kuikubali IBADA YA JUMAPILI, alipotoka roma alikuwa bado anaichunguza biblia, alipokufa wafuasi wake wakaishia hapo hapo
Martin Luther, mwasisi wa kanisa la Kilutheri, aliandika katika ungamo la Augusiburgi (Augusburg Confession), sharti la imani la 28, aya ya 9, maneno haya: "Wao [Wakatoliki wa Roma] wanadai kwamba Sabato ilibadilishwa na kuwa Jumapili, siku ya Bwana, kinyume na ile sheria ya Amri kumi,.. wala hakuna mfano wanaojivunia sana kama huo wa kuibadili siku ya Sabato. Ni mkuu, wasema wao, uwezo na mamlaka ya Kanisa, kwa kuwa liliiondoa mojawapo ya zile Amri kumi."
NDIO MAANA NILIKWAMBIA LETA ANDIKO TULIDADAVUE HAPA WEWE UMEENDA KUKOPI KWA KAKOBE,
KAKOBE NI MBABAISHAJI KAMA WENGINE,
HUYO KAKOBE NA MARTIN LUTHER NANI ANAJUA? MAANA KAKOBE NI MFUASI TU