Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
Wewe ni Mkuda!! Uzi wako upo kikuda zaidi. Nani amekwambia vyuo bora ni vya serikali TU. Narudia tena, wewe ni Mkuda!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani hiyo system ya kuchagua vyuo kupitia TCU hakika ilikuwa inazingua mnooo yaani Dr. Magufuli kuwa kataza kuwapangia vyuo wanafunzi imependeza mnooo
 
Leo nimetoka TRA,kodi yangu wamezidisha eti mara 2!

Nikamuuliza why,akasema eti kuna vi-penati fulani fulani,nikamjibu sawa bwana kama unaona ni haki kuonea wanadamu wenzio wenye nyama na damu kama wewe!

Then I left!

Halafu nione matako yeyote kwenye ukoo wangu anaipa CCM kura!Naua mtu!
nmecheka kwa sauti japo inaumiza bro alafu siku izi muda wa kulipa TRA ukifika awakukumbushi siku ukienda kulipa na faini tu ndo malupu lupu washagundua plan B yakupiga hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
Tunalazimisha kuwa na vyuo vikuu. Wageuze hivyo vyuo viwe vya ufundi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nmecheka kwa sauti japo inaumiza bro alafu siku izi muda wa kulipa TRA ukifika awakukumbushi siku ukienda kulipa na faini tu ndo malupu lupu washagundua plan B yakupiga hela

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna mwana wangu mmoja ana kampuni mitaa ya Mikocheni kapigwa kitu cha 2Bil kachoka na maisha kabisa!

Wameenda kuvumbua maVAT ya tangu 2014!

Kaenda Moshi jana mara moja akaoge mtoni Dar hali mbaya!

Wale machalii walivyo wanga wanakuzindua kwa kukuonesha excel sheet kwanza halafu wanakwambia nenda uje next week!
 
Mbona unaonekana ka fake materials fulani hivii...

muangamie kabisa..mmeWAibia sana masikini ada zao na sasa wako mtaani hawaajiriki.
 
Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
Nawafahamu wafanyakazi wote wa SAUT chuga...nawaza hapa utakua nani wew..ila kuna mfanyakaz mmoja nahisi labda ni wewe
 
Back
Top Bottom