Nkuruvi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 624
- 649
Wewe ni Mkuda!! Uzi wako upo kikuda zaidi. Nani amekwambia vyuo bora ni vya serikali TU. Narudia tena, wewe ni Mkuda!!Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
Sent using Jamii Forums mobile app
