<br />Hivi bachelor zinazotolewa ifm ni genuine jamani?
akili za ccm bhana.. mwe..wewe lazima utakuwa unafanya kazi kwenye hii wizara,sasa hivi tunaona matunda ya kuajiriwa kwa vimemoMtu akisema anasoma Chuo kikuu,
haitaji hata kukitaja kwa jina. moja kwa moja amakuwa anamaanisha UDSM
Nafikiri Tanzania stili tuna chuo kikuu kimoja tu!
akili za ccm bhana.. mwe..wewe lazima utakuwa unafanya kazi kwenye hii wizara,sasa hivi tunaona matunda ya kuajiriwa kwa vimemo
<br />akili za ccm bhana.. mwe..wewe lazima utakuwa unafanya kazi kwenye hii wizara,sasa hivi tunaona matunda ya kuajiriwa kwa vimemo<br />
<br />
<p style="text-align: center;"><img src="http://1.bp.blogspot.com/-ZO76j4tLI7c/TlX1zpk0iQI/AAAAAAAA8z8/dvU4x5yXQPg/s1600/PICHA+NA+2.jpg" border="0" alt="" /><br />
</p>
kuna rafiki yangu alichaguliwa kwenda UDOM,Akamwaga bibi yake akamwmbia bibi mie naenda kusoma UDOM,bibi yake akamwambia 'jitahidi mjukuu wangu usome mpaka ufike chuo kikuu cha daslam'. .
<br /><br /><br />
<br /><br />
udsm hakuna k2,mayb pale coet ndo panawabeba sa hz,ila huko kwngne hapana tofaut na vyuo vingne.
<br /><br /><br />
<br /><br />
ww ni kilaza wa mwisho al da cream of da nation 2nakwenda pale, coet iz da part f udsm mama ww,,, bila division 1 zilizosimama hupeleki pua yako pale....ww unapatamani kw kuw nikilaza utapasikia tu...hebu angalia nchi hii inaungurumishwa na watu gani...take care dogo...
<br />Tanzania kuna University moja tu wenyewe mnaijua,nyingine zote ni kama twisheni.
<br />Hivi bachelor zinazotolewa ifm ni genuine jamani?
<br /><br /><br />
<br /><br />
ww ni kilaza wa mwisho al da cream of da nation 2nakwenda pale, coet iz da part f udsm mama ww,,, bila division 1 zilizosimama hupeleki pua yako pale....ww unapatamani kw kuw nikilaza utapasikia tu...hebu angalia nchi hii inaungurumishwa na watu gani...take care dogo...
<br />Tanzania kuna University moja tu wenyewe mnaijua,nyingine zote ni kama twisheni.
Tena hili la msingi sana, na hasa kuwaambia maprofessa wa pale mlimani kwamba wanabana sana marks bado wanamawazo yale ya mwaka 47.... Nilichogundua baada ya kutoka mlimani kuwa kuna vitu nimelost kwa sasa hata mdogo wangu sitamshawishi kwenda kusoma pale...asikudanganye mtu kama alivyosema Pele kwenye soka mpira magori hata elimu ni hivyo hivyo shule ni GPA. Unasoma mlimani wanakupa KajiGPA ka 3.0 ukiwa na bahati, ukija mataani watu wanataka GPA ya 3.5....ambayo inapatikana kiulaini tu hapo Zanzibar, IFM au Sauti...ikitokea nafasi ya scholarship watu wanaangalia GPA unashangaa vijana wa Zanzibar university kila siku wanapata scholarship wewe uliyeenyeka chini ya Mti na GPA yako ya 3...unapigwa chini....Sina nia mbaya na watu IFM lakini ukweli upo wazi ukienda wizara nyeti zote ndiyo waliojaa huku, simply walimaliza na GPA kubwa ingawa matokeo yao ya sekondary yalikuwa mabovu. Wale walifanya vizuri sekondary wakaenda mlimani wanaminywa wanatoka na vijiGPA vya 2. Kuna nia kabisa ya kufikiria waajiri wetu tena hawa wa Tanzania kujuwa hili kuwa mlimani elimu yake ipo juu lakini waalimu wanawalostisha wanafunzi kwa kupana matokeo. Ninahakika kabisa mtu akitoka na GPA ya 3.5 mlimani juwa vyuo vingine na Ulaya ni first class!!!
Kaka usiofu, wewe nenda fanya interview!!!
<br />
<br />
ww ni kilaza wa mwisho al da cream of da nation 2nakwenda pale, coet iz da part f udsm mama ww,,, bila division 1 zilizosimama hupeleki pua yako pale....ww unapatamani kw kuw nikilaza utapasikia tu...hebu angalia nchi hii inaungurumishwa na watu gani...take care dogo...