Wakuu naomba mnijuze, hivi katika swala la kuajiri chuo ulicho soma ni moja ya kigezo, mfano udom nasikia watawapa kipaumbele wale walio soma vyuo vya serikali na vyenye majina. Hio imekaaje huko maofisini? hivi SAUT kinajina? Nawakirisha hoja
<br />vyuo vikuu nchi nzima havizidi vitatu..vilivyobaki vyote ni vya mchangani....
<br /Kama kimesajiliwa Tcu kitakuwa chuo bora
kwani TCU na NACTE ndio wanaajiri?Kama kinatambulika TCU na NACTE pia: kitakuwa bomba.
<br />Labda kabla cjakujibu niulize kidogo! if u whr an employer na watu wa 2 wameapply wenye sifa sawa unazo zitaka na mmoja amesoma chuo ulicho soma na mwingine chuo tofauti,je ungemchuka yupi kati yao? tafakari!