Vyoo vya kukaa vimenishinda

Vyoo vya kukaa vimenishinda

Habari wakuu,natumai mko vyedi kabisaa katika harakati za kusaka noti.Niende kwenye point,hivi karibuni nilikuja hapa jf nikaandika uzi wa kutafuta chumba so baada ya muda nikapata,sasa kimbembe hii room ina choo cha kukaa (KINU).

kiukweli toka nizaliwe sijawahi kuishi nyumba yenye choo cha aina hii,hivyo matumizi yake ni mtihani kwangu.

Kukaa napata shida mara ndonga iingie kwenye maji,mara mzigo ukishuka kwa uzito wa hali ya juu unasababisha mlipuko wa maji yananirukia makalioni dah,yani napata tabu sana kifupi mpaka nimekua nikienda kutumia choo cha kuchutama kwa rafiki yangu wa karibu.

Kazi njema wote.
Hahahha, ndonga inatumbukia shimoni. Usipojua kulenga utasikia tubwiii, ujue ushaloana makalio.
 
undefinedkama unaogopa kurukiwa maji,na kwakweli kiafya haifai kama mko watumiaji zaidi ya mmoja,angalia namna ya ukaaji ili ukitumbukiza choo kisiende majini,kaa hadi mwisho ili kinyesi kitue kwanza kwenye kuta kisha flush
Hapo umenena mkuu leo ngoja nitumie hayo maalifa
 
Pole sana choo cha kukaa ni usafi tuu na choo cha kukaa ni kuzuri sana. Ina maana mpaka umri huo hujajua kwamba ile kitu ni starehe murua kabisa? ndio maana kwa wenzetu unakuta kuna gazeti pia. unakaa vizuri chukua gazeti anza kufungua page by page kwa raha zako....

Kingine kama unaona choo hakiko sawa maji yanakurukia tanguliza toilet pale ndio uanze shughuli yako.... kwa kukusaidia tuu uwe msafi ndio utaona uzuri wa hicho choo. maana uchafu ndio adui yake mkubwa............. Enjoy English type na sio Asian type ha ha ha ha ha ha nimeenda mie
 
Habari wakuu,natumai mko vyedi kabisaa katika harakati za kusaka noti.Niende kwenye point,hivi karibuni nilikuja hapa jf nikaandika uzi wa kutafuta chumba so baada ya muda nikapata,sasa kimbembe hii room ina choo cha kukaa (KINU).

kiukweli toka nizaliwe sijawahi kuishi nyumba yenye choo cha aina hii,hivyo matumizi yake ni mtihani kwangu.

Kukaa napata shida mara ndonga iingie kwenye maji,mara mzigo ukishuka kwa uzito wa hali ya juu unasababisha mlipuko wa maji yananirukia makalioni dah,yani napata tabu sana kifupi mpaka nimekua nikienda kutumia choo cha kuchutama kwa rafiki yangu wa karibu.

Kazi njema wote.
wasukuma bhn
 
Kipindi nasoma Udsm hostel zilikuwa na vyoo vya kukaa kwa kweli ikinipasa kutumia vyoo vya kanisani na msikitini kwa huu ujinga
Unawezaje mkuu kutumia vyoo vya msikitini na kanisani kwa wakati mmoja
 
sivipendi hasa nyakati za baridi. kama wasiwas wako maji cha kufanya uwe unasoge kwa mbele kidogo ili mzigo uwe unafikia kwenye kale ka sakafu kabla mzigo haujafika kwenye maji.

ikishindikana nunua pepa za kutosha kabla hujakata gogo kata hizo TP weka kwenye hayo maji kisha shusha mzigo wako inapunguza kidogo.

swala linaluja kujisafisha huko kwa maji ... inabidi kusubiri wakat wa kuoga qudadeq


Kwani kwenda huko vipi si kuna ratiba maalum kwa mtu ambaye mfumo wake wa kula uko sawa? Asubuhi ukiamka, na ndio unamaliza shida zako zooote kuswaki, kuoga ama ni ile fyekefyeke kama mtoto ambaye afya yake ni mgogoro?
 
Back
Top Bottom