Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,019
- 46,839
sivipendi hasa nyakati za baridi. kama wasiwas wako maji cha kufanya uwe unasoge kwa mbele kidogo ili mzigo uwe unafikia kwenye kale ka sakafu kabla mzigo haujafika kwenye maji.
ikishindikana nunua pepa za kutosha kabla hujakata gogo kata hizo TP weka kwenye hayo maji kisha shusha mzigo wako inapunguza kidogo.
swala linaluja kujisafisha huko... inabidi kusubiri wakat wa kuoga qudadeq
ikishindikana nunua pepa za kutosha kabla hujakata gogo kata hizo TP weka kwenye hayo maji kisha shusha mzigo wako inapunguza kidogo.
swala linaluja kujisafisha huko... inabidi kusubiri wakat wa kuoga qudadeq
we gogo wakt mwingine halina ratiba maalumuKwani kwenda huko vipi si kuna ratiba maalum kwa mtu ambaye mfumo wake wa kula uko sawa? Asubuhi ukiamka, na ndio unamaliza shida zako zooote kuswaki, kuoga ama ni ile fyekefyeke kama mtoto ambaye afya yake ni mgogoro?




