Sawaa,,nadhan angekua na mtu wa karibu angekua anakataa kufanya interview mpaka wampe pesaBinafsi nipo nje ya mkoa kidogo, lakini swala lipo kwa mzee mwenyewe je ana nia? Anaweza kukubali? Uenda akawa nae anaogopa au asione faida ya jambo lenyewe, kwakua mzee bado hayupo sawa kidogo na uenda ata akaja kukukana mahakamani ukaonekana wewe ndio ulitaka kumtumia upige hela... hapa swala ni tumsaidie tu kwa kuwapigia kelele hawa watu wamlipe hela.
Kuna watu wengi wanapofushwa na ulokole wa jamaa ila anajitengenezea pesa kwa habari ambazo sometimes zinaondoa utu wa watu wengi (waulize wasanii)Huyo ndio muhini haswaa, kaenda kumfuata na gari alafu saa ya karudi kamtelekeza babu karudi mwenyewe kwa daladala... washamtumia na wanaingiza mamilioni.
Achana nae huyo pia chizi aliyetoroka RussiaMatola, unasema huu ni ujinga?, haya bhana!!, hivi kuna jambo jema Duniani linalozidi kupigania Utu na Heshima kwa Wanadamu wenzetu??. Kuwa mtu wa Huruma na MUNGU atakuhurumia pia.
thats not fair at all.kwanini wafanye hivyo alafu bila hata kumlipa muhusikaW
Wametoa offer wanaiita u 900 itapendeza
Yeye alililia kama mtoto Anadai kazulumiwa na ccm et watanzania tumuonee huruma mzee mnafiki sanaa.Kuna watu wengi wanapofushwa na ulokole wa jamaa ila anajitengenezea pesa kwa habari ambazo sometimes zinaondoa utu wa watu wengi (waulize wasanii)
very unproffesional kabisa...wanafanya kazi kama matapeli flani hiviJamaa wanafanya ushenzi sanaa, very unprofessional
Binafsi nimeliulizia sanaa hiliKiukweli hata mimi baada ya kusikia kwamba Dk. anashinda njaa niliumia sana, mwenye namba za Dk naomba aweke hapa nimtumie pesa kidogo japo aweze kula bila kujali mabilioni aliyonayo..
Mimi ni miongoni mwa watu walioguswa na habari ya uyu daktari bila kujali stori iliyojificha nyuma yake..
Mungu ambariki na amlinde Dk. Shika
Hicho kifurushi kinapatikana kwa menu ipi??Kweli kabisa kama hilo la airtel nimeliona mapema yaaani wamlipe huyu mzee hatakiwi tenakuishi maisha haya.huyu Mzee. Angepata mtu amsaidie wamlipe pesa zake