Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika

Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika

Hawa wanaofanya promotion kwa kutumia maneno ya huyu mzee wamsaidie. Angekuwa na uwezo ingefaa asajili na kupata rights za huo usemi.
 
Kupitia mahojiano mbali mbali ya baadhi ya waandishi wa habari na wapangaji wenzie wanaeishi na Dr. Shika tumeweza kujua namna maisha ya dokta huyo yalivyo ya tabu na ikisemekana kuwa dokta huyo hata chakula kwake ni tatizo kubwa sanaa, anaishi maisha ambayo hata mnyama ana afadhali, na hana msaada toka kwa ndugu wala jamaa yake yoyote yule anaishi kwa neema na qudra tu za Mungu.

Sasa geukia upande wa pili, hawa wanao report, kushare na kupost habari za dokta Shika wanapata mamilion mengi tu, mfano Millard Ayo, video zake zote alizopost YouTube zimekuwa namba moja kwenye trending na zimetazamwa na malaki ya watu huku pia wanaomzamini Millard Ayo wakizidi kumwagia pesa za kufa mtu na YouTube wakimlipa mamilion ya fedha.

Sio Millard tu, kuna Mwananchi, Global nk nk. Ambao sasa wanauza sana kuliko wakati wowote kwa kutumia mahojiano yao na mzee huyu, na habari za mzee huyu zina sikika kuliko ata nyimbo na matukio ya wasanii kuliko hata habari za wabunge na Serikali.

Je, kuna namna yoyote mzee anafaidika?

Baada ya muda upepo huu utakwisha na mzee atarudi kuishi maisha yake yale yale ya kushinda njaa na upweke na hapa sijagusia Airtel ambao wametoa offer mpya na wanaiita "u mia tisa itapendeza" hawa nao najua watakua wamefanya uhuni tu, bado wale wa mashati ya 900 itapendeza, bado wale wa stika za magari za 900 itapendeza.

Mungu ana maksudi makubwa na mzee huyu, katujulisha waTanzania, kamtoa chakani, basi tumsaidie huyu mzee, na nyie wakina Millard lipeni fadhila mrudishieni ata asilimia 10 basi ya faida mlizo ingiza kwa kupitia yeye.

Tumsaidie mzee
Naiunga hoja mkono Ahsante.
 
Ni kwel mkuu, yani huyu mzee anaishi maisha ya tabu sana ila sijaona hata mtu anajitokeza kumsaidia,zaidi wanamuhoji tu na kuuza magazeti,blog nk kwa habari zake.

Mimi nashauri tutafute namna tupate namba zake tumchangie walau kidogo. Huyu mzee mimi nampenda bure,ila anaishi maisha magumu sana hata afya yake inaonesha.
 
Ipatikane namba tutamchangia tu inaumiza roho sana, Mzee wa watu mcheshi pia anatoa ushirikiano mzuri kwa wanahabari ila wakimaliza hapati kitu wao wananufaika, link ya huu uzi ni kuisambaza kwenye group za WhatsApp najua wengi watakuswa na kujua namna ya kumpigania, all in all mpango ufanyike tupate namba yake
 
Mbaya zaidi vyombo hivi vya habari vinamtumia tu huyu mzee wetu na hazitoi details za namna wananchi wanaweza Kuwasiliana nae au kumpata, watoe ata namba tu wananchi tutajua cha kufanya, na mpaka sasa ni ma elfu ya watu mitandaoni wanataka kupata namba za huyu mzee wamtumie chochote.
 
Kupitia mahojiano mbali mbali ya baadhi ya waandishi wa habari na wapangaji wenzie wanaeishi na Dr. Shika tumeweza kujua namna maisha ya dokta huyo yalivyo ya tabu na ikisemekana kuwa dokta huyo hata chakula kwake ni tatizo kubwa sanaa, anaishi maisha ambayo hata mnyama ana afadhali, na hana msaada toka kwa ndugu wala jamaa yake yoyote yule anaishi kwa neema na qudra tu za Mungu.

Sasa geukia upande wa pili, hawa wanao report, kushare na kupost habari za dokta Shika wanapata mamilion mengi tu, mfano Millard Ayo, video zake zote alizopost YouTube zimekuwa namba moja kwenye trending na zimetazamwa na malaki ya watu huku pia wanaomzamini Millard Ayo wakizidi kumwagia pesa za kufa mtu na YouTube wakimlipa mamilion ya fedha.

Sio Millard tu, kuna Mwananchi, Global nk nk. Ambao sasa wanauza sana kuliko wakati wowote kwa kutumia mahojiano yao na mzee huyu, na habari za mzee huyu zina sikika kuliko ata nyimbo na matukio ya wasanii kuliko hata habari za wabunge na Serikali.

Je, kuna namna yoyote mzee anafaidika?

Baada ya muda upepo huu utakwisha na mzee atarudi kuishi maisha yake yale yale ya kushinda njaa na upweke na hapa sijagusia Airtel ambao wametoa offer mpya na wanaiita "u mia tisa itapendeza" hawa nao najua watakua wamefanya uhuni tu, bado wale wa mashati ya 900 itapendeza, bado wale wa stika za magari za 900 itapendeza.

Mungu ana maksudi makubwa na mzee huyu, katujulisha waTanzania, kamtoa chakani, basi tumsaidie huyu mzee, na nyie wakina Millard lipeni fadhila mrudishieni ata asilimia 10 basi ya faida mlizo ingiza kwa kupitia yeye.

Tumsaidie mzee
Copy and patse, airtel bwana? Mtaacha lini huo uhuni wenu? Jaribuni kudrive idea zenu!
 
Hakuna maslah yoyote anayopata katika kihojiwa wala kutembelewa na hizo media...Wao wanaenda kama wana habari kuchukua habari na kuzisambaza kwa manufaa yao wakimwacha mzee wa watu kama walivyomkuta...Leo nitaenda kumtembelea dk shika anapoishi kwa niaba ya vijana wenzangu kadhaa kwenda kuongea nae na kujua tunamsaidia vipi....HAtuna uwezo mkubwa lakini tunaweza kumudu kumtatulia shida ya chakula na mavazi kwanza huku tukijiridhisha sehemu anapolala ni rafiki?
 
Hakuna maslah yoyote anayopata katika kihojiwa wala kutembelewa na hizo media...Wao wanaenda kama wana habari kuchukua habari na kuzisambaza kwa manufaa yao wakimwacha mzee wa watu kama walivyomkuta...Leo nitaenda kumtembelea dk shika anapoishi kwa niaba ya vijana wenzangu kadhaa kwenda kuongea nae na kujua tunamsaidia vipi....HAtuna uwezo mkubwa lakini tunaweza kumudu kumtatulia shida ya chakula na mavazi kwanza huku tukijiridhisha sehemu anapolala ni rafiki?
Fanya hivyo uje na mrejesho mkuu
 
Hakuna maslah yoyote anayopata katika kihojiwa wala kutembelewa na hizo media...Wao wanaenda kama wana habari kuchukua habari na kuzisambaza kwa manufaa yao wakimwacha mzee wa watu kama walivyomkuta...Leo nitaenda kumtembelea dk shika anapoishi kwa niaba ya vijana wenzangu kadhaa kwenda kuongea nae na kujua tunamsaidia vipi....HAtuna uwezo mkubwa lakini tunaweza kumudu kumtatulia shida ya chakula na mavazi kwanza huku tukijiridhisha sehemu anapolala ni rafiki?
Ubarikiwe sana, usisahau kutupa mrejesho basi.
 
Hawa wanaofanya promotion kwa kutumia maneno ya huyu mzee wamsaidie. Angekuwa na uwezo ingefaa asajili na kupata rights za huo usemi.

Hakunaga rights za hivyo !!!
Maneno mawili ya kiswahili haki aitoe wapi!? huruma zetu zisitufanye kuwa vipofu,
Nchii hii watu wengi wamesagika marehemu Muhidin Gurumo kaimba kabla hatujapata uhuru na amekufa masikini kabisa,
Mifano iko mingi sana ya ufukara nchi hii,
Ni kweli tunamuonea huruma huyu mzee lakini ni wangapi wana hali mbaya sana sana zaidi yake kwa hivyo tuwe serious kwenye mawazo yetu juu yake isiwe na sisi ni walewale tunataka kiki kupitia yeye.
 
Hakunaga rights za hivyo !!!
Maneno mawili ya kiswahili haki aitoe wapi!? huruma zetu zisitufanye kuwa vipofu,
Nchii hii watu wengi wamesagika marehemu Muhidin Gurumo kaimba kabla hatujapata uhuru na amekufa masikini kabisa,
Mifano iko mingi sana ya ufukara nchi hii,
Ni kweli tunamuonea huruma huyu mzee lakini ni wangapi wana hali mbaya sana sana zaidi yake kwa hivyo tuwe serious kwenye mawazo yetu juu yake isiwe na sisi ni walewale tunataka kiki kupitia yeye.
Makosa mawili haya halalishi kosa ilo liwe sawa. Hii ni Tanzania mpya, vizazi vyote vimeamka sanaa na ndio maana utaona ata Tigo watawapa wakina Mwana FA bilion 2, pili sisi hatujazungumza mambo ya copyrights and neighbouring rights, sisi tunataka hawa waone aibu, warudishe fadhila kwa yale wanayo yapata toka kwa mzee huyu, na ni ubinadamu wakawaida tu.
 
Kupitia mahojiano mbali mbali ya baadhi ya waandishi wa habari na wapangaji wenzie wanaeishi na Dr. Shika tumeweza kujua namna maisha ya dokta huyo yalivyo ya tabu na ikisemekana kuwa dokta huyo hata chakula kwake ni tatizo kubwa sanaa, anaishi maisha ambayo hata mnyama ana afadhali, na hana msaada toka kwa ndugu wala jamaa yake yoyote yule anaishi kwa neema na qudra tu za Mungu.

Sasa geukia upande wa pili, hawa wanao report, kushare na kupost habari za dokta Shika wanapata mamilion mengi tu, mfano Millard Ayo, video zake zote alizopost YouTube zimekuwa namba moja kwenye trending na zimetazamwa na malaki ya watu huku pia wanaomzamini Millard Ayo wakizidi kumwagia pesa za kufa mtu na YouTube wakimlipa mamilion ya fedha.

Sio Millard tu, kuna Mwananchi, Global nk nk. Ambao sasa wanauza sana kuliko wakati wowote kwa kutumia mahojiano yao na mzee huyu, na habari za mzee huyu zina sikika kuliko ata nyimbo na matukio ya wasanii kuliko hata habari za wabunge na Serikali.

Je, kuna namna yoyote mzee anafaidika?

Baada ya muda upepo huu utakwisha na mzee atarudi kuishi maisha yake yale yale ya kushinda njaa na upweke na hapa sijagusia Airtel ambao wametoa offer mpya na wanaiita "u mia tisa itapendeza" hawa nao najua watakua wamefanya uhuni tu, bado wale wa mashati ya 900 itapendeza, bado wale wa stika za magari za 900 itapendeza.

Mungu ana maksudi makubwa na mzee huyu, katujulisha waTanzania, kamtoa chakani, basi tumsaidie huyu mzee, na nyie wakina Millard lipeni fadhila mrudishieni ata asilimia 10 basi ya faida mlizo ingiza kwa kupitia yeye.

Tumsaidie mzee
Daaaah I like that ndugu coz ukija kuangaliaaa mzee mwenyewe anaishi difficult miserable life...... It's better they should bargain with him ili hata na yeye apate benefit to his history
 
Back
Top Bottom