Wamnunulie hata bodaboda.Huu uzi tushare kwenye magroup ya WhatsApp huko utembee sana watu wengi wajue mwamko utakuwa mkubwa wa kumpazia sauti Mzee apate haki yake
Mimi siwezi kushare ujinga.Huu uzi tushare kwenye magroup ya WhatsApp huko utembee sana watu wengi wajue mwamko utakuwa mkubwa wa kumpazia sauti Mzee apate haki yake
Duh!!, yaani sio fair kabisa.halafu kumfata kwake kumpeleka mahojiano wanamfuata na usafiri wakimaliza wanamuacha akapande daladala
Kuna mtu amekulazimisha au kukupigia magoti ufanye hivyo?? Usipofanya kuna mtu atakufa jf??Mimi siwezi kushare ujinga.
Matola, unasema huu ni ujinga?, haya bhana!!, hivi kuna jambo jema Duniani linalozidi kupigania Utu na Heshima kwa Wanadamu wenzetu??. Kuwa mtu wa Huruma na MUNGU atakuhurumia pia.Mimi siwezi kushare ujinga.
Kiukweli hata mimi baada ya kusikia kwamba Dk. anashinda njaa niliumia sana, mwenye namba za Dk naomba aweke hapa nimtumie pesa kidogo japo aweze kula bila kujali mabilioni aliyonayo.."Yaani Babu yeye chakula chake ni maji tu, pale bombani anaenda na kikombe chake, basi"
Hii kauli iliniuma sana! Maskini Mzee wa watu, ningekua lawyer ningeforce king mpaka wote wanamtumia kama ngazi wangemlipa!
Binafsi nipo nje ya mkoa kidogo, lakini swala lipo kwa mzee mwenyewe je ana nia? Anaweza kukubali? Uenda akawa nae anaogopa au asione faida ya jambo lenyewe, kwakua mzee bado hayupo sawa kidogo na uenda ata akaja kukukana mahakamani ukaonekana wewe ndio ulitaka kumtumia upige hela... hapa swala ni tumsaidie tu kwa kuwapigia kelele hawa watu wamlipe hela.Wanasheria jitokezeni mumsimamie sasa sio kuongea tu humu,,tena we mwanasheria utakua maarufu na utajijengea jina vizuri
Huyo ndio muhini haswaa, kaenda kumfuata na gari alafu saa ya karudi kamtelekeza babu karudi mwenyewe kwa daladala... washamtumia na wanaingiza mamilioni.Hiii kitu haikubaliki nina hakika wapo watu washatengezea pesa kwa ajili ya jina la huyu mzeee jamani tupaze sauti huyu mzeee asaidiwe wanajidai kumpenda wanamhoji wao wanauza magazeti yao hawampi kitu.huyu shigongo anajidaigi kaokoka yéyé alitaka kudhulumiwa na ccm akalia wamlipe bana
airtel wamefanyaje?Tumtete huyu mzee, na dawa hapa ni tuvilipue tu hivi vyombo vya habari... ila Airtel wamenikera sanaa, wapuuzi sanaa, nao wamesafiria nyota.
Inaumiza sanaaaMara mia wangemwacha Mzee wa watu aendelee kuishi km mwanzo tu, imekuwa bahati kuja mbele ya jamii, pia imekuwa fursa kwa vyombo vya habari ambavyo havina hurumu kumdhulumu haki yake, inatia hasira na huruma sana yani yamekazana kuujilimbikizia kuliko kusaidia