KKKT watajuta kukabidhi mamlaka ya Kanisa kwa mangi.Wakati mgogoro ukizidi kufukuta kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, Aprili 17, 2022 baadhi ya waumini wa usharika wa Mbalizi wamemzuia mchungaji wao, Atupele Mlawa kuingia kanisani na kusababisha kuvunjika kwa ibada.
Kutokana na vurugu hizo, Jeshi la Polisi mkoani humo limefika kanisani hapo na kukamata baadhi ya viongozi wa kanisa hilo.
Vurugu hizo zimetokea leo Jumapili Aprili 17 wakati Wakristo kote duniani wakisherekea siku kuu ya Pasaka.
Baadhi ya waumini waliozungumza na Mwananchi kanisani hapo wamesema vurugu zilianza baada ya baadhi ya waumini kufunga milango kumzuia mchungaji Mlawa kutoingia ndani kuendesha ibada wakidai kutumia vibaya mali za kanisa hilo.
Taarifa zaidi zimesema waumini wanaompinga Mchungaji Mlawa, wanamtaka Mchungaji Lusajo Sanga aliyechaguliwa hivi karibuni kwenye uchaguzi uliofanyika Machi 22 chini ya Kiongozi wa Kanisa hilo nchini, Dk Fredrick Shoo.
Hata hivyo, waumini wengine walipinga kitendo cha kufunga milango ya kanisa wakitaka mchungaji Mlawa aendelee na kazi yake na ndipo vurugu zilipozuka.
Akizunguka katika eneo la kanisa hilo, mmoja wa waumini, Jane Msingwa amesema baadhi ya waumini walisimama mlangoni wakipinga mchungaji Mlawa kuingia kanisani.
"Leo kilichotokea ni sintofahamu, mchungaji alikuja kuendesha ibada lakini watu wakakaa mlangoni hadi msaidizi wake akaingilia kati ila hali ilikuwa mbaya," amesema Jane.
Kwa upande wake Godfrey Mwasuku amesema wameamua kukaa mlangoni hapo kutokana na kukaidi kwa mchungaji huyo maelekezo kwani alishaandikiwa barua ya kuondoka kanisani hapo.
"Hiki kilichotokea leo ni kutokana na uongozi tulionao, ilipangwa ratiba ya ibada na huyu mchungaji Mlawa tulishamuandikia barua kuondoka, imeshangaza tunamuona amekuja ndio maana tukasema hatumtambui," amesema Mwasuku.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Ulrich Matei amesema baada ya kupata taarifa za kuwapo kwa vurugu aliwatuma askari wake kwenda kumaliza mzozo.
"Msimamo wetu Jeshi la Polisi tumewaambia hao viongozi tuliowakamata nini cha kufanya, waende mahakamani wamalize mgogoro ili mwenye haki apewe, tusichotaka kusikia ni uvunjifu wa amani kwa raia sehemu yoyote," amesema Matei.
Viongozi wanaotajwa kukamatwa na Polisi ni pamoja na Askofu wa dayosisi ya Mbeya Magharibi, Judith Kajela, Mchungaji Atupele Mlawa na Mchungaji Lusajo Sanga.
Chanzo: Mwananchi
Shoo yuko busy na chaggademaKKKT inakabiliwa na ukabila na ukanda
Hiyo ndiyo nzuri mkuu, wewe huwajui viongozi wa kidini.Hata kama walikuwa na tatizo naye. Kumtakaza mchungaji kwenda kuongoza ibada siyo jambo jema na zuri. Wajitathimi
Huenda ameshakula baadhi ya kondoo hapo, si unajua tena akina Atuganile walivyo jazia lazima tu pastor kawalaNi maajabu ana kesi moja tu ya kutumia vibaya mali za kanisa.
Mara zote matumizi mabaya ya mali yanaambatana na uzinzi.
Ni maajabu ana kesi moja tu ya kutumia vibaya mali za kanisa.
Mara zote matumizi mabaya ya mali yanaambatana na uzinzi.
Umetoka nje ya mada bwasheee ....Tukiambiwa na nani??Mkiambiwa Roman Catholic ni taasisi imara kibinadamu na kiroho msiwe mnakuwa wabishi. Hiyo ni laana ya kuasi kanisa la Kristu, na hii ni kwa all Protestants (they protested)
Kwanini akaidi? Wapi ulisikia Yesu anajipendekeza kwa wasiomtaka kwamba walimfukuza akalazimisha kukaa nao.Hata kama walikuwa na tatizo naye. Kumtakaza mchungaji kwenda kuongoza ibada siyo jambo jema na zuri. Wajitathimi
Vitu vya aibu sana!! Sidhani kama wapo kumtumikia Mungu kweli! Wapo kumtumikia matumbo yao! Na hayo ndiyo watakayovuna!!Wakati mgogoro ukizidi kufukuta kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, Aprili 17, 2022 baadhi ya waumini wa usharika wa Mbalizi wamemzuia mchungaji wao, Atupele Mlawa kuingia kanisani na kusababisha kuvunjika kwa ibada.
Kutokana na vurugu hizo, Jeshi la Polisi mkoani humo limefika kanisani hapo na kukamata baadhi ya viongozi wa kanisa hilo.
Vurugu hizo zimetokea leo Jumapili Aprili 17 wakati Wakristo kote duniani wakisherekea siku kuu ya Pasaka.
Baadhi ya waumini waliozungumza na Mwananchi kanisani hapo wamesema vurugu zilianza baada ya baadhi ya waumini kufunga milango kumzuia mchungaji Mlawa kutoingia ndani kuendesha ibada wakidai kutumia vibaya mali za kanisa hilo.
Taarifa zaidi zimesema waumini wanaompinga Mchungaji Mlawa, wanamtaka Mchungaji Lusajo Sanga aliyechaguliwa hivi karibuni kwenye uchaguzi uliofanyika Machi 22 chini ya Kiongozi wa Kanisa hilo nchini, Dk Fredrick Shoo.
Hata hivyo, waumini wengine walipinga kitendo cha kufunga milango ya kanisa wakitaka mchungaji Mlawa aendelee na kazi yake na ndipo vurugu zilipozuka.
Akizunguka katika eneo la kanisa hilo, mmoja wa waumini, Jane Msingwa amesema baadhi ya waumini walisimama mlangoni wakipinga mchungaji Mlawa kuingia kanisani.
"Leo kilichotokea ni sintofahamu, mchungaji alikuja kuendesha ibada lakini watu wakakaa mlangoni hadi msaidizi wake akaingilia kati ila hali ilikuwa mbaya," amesema Jane.
Kwa upande wake Godfrey Mwasuku amesema wameamua kukaa mlangoni hapo kutokana na kukaidi kwa mchungaji huyo maelekezo kwani alishaandikiwa barua ya kuondoka kanisani hapo.
"Hiki kilichotokea leo ni kutokana na uongozi tulionao, ilipangwa ratiba ya ibada na huyu mchungaji Mlawa tulishamuandikia barua kuondoka, imeshangaza tunamuona amekuja ndio maana tukasema hatumtambui," amesema Mwasuku.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Ulrich Matei amesema baada ya kupata taarifa za kuwapo kwa vurugu aliwatuma askari wake kwenda kumaliza mzozo.
"Msimamo wetu Jeshi la Polisi tumewaambia hao viongozi tuliowakamata nini cha kufanya, waende mahakamani wamalize mgogoro ili mwenye haki apewe, tusichotaka kusikia ni uvunjifu wa amani kwa raia sehemu yoyote," amesema Matei.
Viongozi wanaotajwa kukamatwa na Polisi ni pamoja na Askofu wa dayosisi ya Mbeya Magharibi, Judith Kajela, Mchungaji Atupele Mlawa na Mchungaji Lusajo Sanga.
Chanzo: Mwananchi
Ukikuta katika jamii hakuna migogoro ni either watendwa wamekubali kuwa kondoo au vinginevyo.Mkiambiwa Roman Catholic ni taasisi imara kibinadamu na kiroho msiwe mnakuwa wabishi. Hiyo ni laana ya kuasi kanisa la Kristu, na hii ni kwa all Protestants (they protested)
Sasa asipokula kondoo unata ale nini nyasi au? Kondoo wanakula majani kondoo wakinona mchungaji anakula kondoo hii ndio cycle ilivyo.Huenda ameshakula baadhi ya kondoo hapo, si unajua tena akina Atuganile walivyo jazia lazima tu pastor kawala
Umewahi ona mchungaji gani akitambulika ni mzinzi anaendelea kuhudumu?Uzinzi ni kesi?
MakubwaWakati mgogoro ukizidi kufukuta kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, Aprili 17, 2022 baadhi ya waumini wa usharika wa Mbalizi wamemzuia mchungaji wao, Atupele Mlawa kuingia kanisani na kusababisha kuvunjika kwa ibada.
Kutokana na vurugu hizo, Jeshi la Polisi mkoani humo limefika kanisani hapo na kukamata baadhi ya viongozi wa kanisa hilo.
Vurugu hizo zimetokea leo Jumapili Aprili 17 wakati Wakristo kote duniani wakisherekea siku kuu ya Pasaka.
Baadhi ya waumini waliozungumza na Mwananchi kanisani hapo wamesema vurugu zilianza baada ya baadhi ya waumini kufunga milango kumzuia mchungaji Mlawa kutoingia ndani kuendesha ibada wakidai kutumia vibaya mali za kanisa hilo.
Taarifa zaidi zimesema waumini wanaompinga Mchungaji Mlawa, wanamtaka Mchungaji Lusajo Sanga aliyechaguliwa hivi karibuni kwenye uchaguzi uliofanyika Machi 22 chini ya Kiongozi wa Kanisa hilo nchini, Dk Fredrick Shoo.
Hata hivyo, waumini wengine walipinga kitendo cha kufunga milango ya kanisa wakitaka mchungaji Mlawa aendelee na kazi yake na ndipo vurugu zilipozuka.
Akizunguka katika eneo la kanisa hilo, mmoja wa waumini, Jane Msingwa amesema baadhi ya waumini walisimama mlangoni wakipinga mchungaji Mlawa kuingia kanisani.
"Leo kilichotokea ni sintofahamu, mchungaji alikuja kuendesha ibada lakini watu wakakaa mlangoni hadi msaidizi wake akaingilia kati ila hali ilikuwa mbaya," amesema Jane.
Kwa upande wake Godfrey Mwasuku amesema wameamua kukaa mlangoni hapo kutokana na kukaidi kwa mchungaji huyo maelekezo kwani alishaandikiwa barua ya kuondoka kanisani hapo.
"Hiki kilichotokea leo ni kutokana na uongozi tulionao, ilipangwa ratiba ya ibada na huyu mchungaji Mlawa tulishamuandikia barua kuondoka, imeshangaza tunamuona amekuja ndio maana tukasema hatumtambui," amesema Mwasuku.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Ulrich Matei amesema baada ya kupata taarifa za kuwapo kwa vurugu aliwatuma askari wake kwenda kumaliza mzozo.
"Msimamo wetu Jeshi la Polisi tumewaambia hao viongozi tuliowakamata nini cha kufanya, waende mahakamani wamalize mgogoro ili mwenye haki apewe, tusichotaka kusikia ni uvunjifu wa amani kwa raia sehemu yoyote," amesema Matei.
Viongozi wanaotajwa kukamatwa na Polisi ni pamoja na Askofu wa dayosisi ya Mbeya Magharibi, Judith Kajela, Mchungaji Atupele Mlawa na Mchungaji Lusajo Sanga.
Chanzo: Mwananchi
Wangewnda kukamata Askofu Shoo inavyoonekana ndiye chanzoWakati mgogoro ukizidi kufukuta kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, Aprili 17, 2022 baadhi ya waumini wa usharika wa Mbalizi wamemzuia mchungaji wao, Atupele Mlawa kuingia kanisani na kusababisha kuvunjika kwa ibada.
Kutokana na vurugu hizo, Jeshi la Polisi mkoani humo limefika kanisani hapo na kukamata baadhi ya viongozi wa kanisa hilo.
Vurugu hizo zimetokea leo Jumapili Aprili 17 wakati Wakristo kote duniani wakisherekea siku kuu ya Pasaka.
Baadhi ya waumini waliozungumza na Mwananchi kanisani hapo wamesema vurugu zilianza baada ya baadhi ya waumini kufunga milango kumzuia mchungaji Mlawa kutoingia ndani kuendesha ibada wakidai kutumia vibaya mali za kanisa hilo.
Taarifa zaidi zimesema waumini wanaompinga Mchungaji Mlawa, wanamtaka Mchungaji Lusajo Sanga aliyechaguliwa hivi karibuni kwenye uchaguzi uliofanyika Machi 22 chini ya Kiongozi wa Kanisa hilo nchini, Dk Fredrick Shoo.
Hata hivyo, waumini wengine walipinga kitendo cha kufunga milango ya kanisa wakitaka mchungaji Mlawa aendelee na kazi yake na ndipo vurugu zilipozuka.
Akizunguka katika eneo la kanisa hilo, mmoja wa waumini, Jane Msingwa amesema baadhi ya waumini walisimama mlangoni wakipinga mchungaji Mlawa kuingia kanisani.
"Leo kilichotokea ni sintofahamu, mchungaji alikuja kuendesha ibada lakini watu wakakaa mlangoni hadi msaidizi wake akaingilia kati ila hali ilikuwa mbaya," amesema Jane.
Kwa upande wake Godfrey Mwasuku amesema wameamua kukaa mlangoni hapo kutokana na kukaidi kwa mchungaji huyo maelekezo kwani alishaandikiwa barua ya kuondoka kanisani hapo.
"Hiki kilichotokea leo ni kutokana na uongozi tulionao, ilipangwa ratiba ya ibada na huyu mchungaji Mlawa tulishamuandikia barua kuondoka, imeshangaza tunamuona amekuja ndio maana tukasema hatumtambui," amesema Mwasuku.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Ulrich Matei amesema baada ya kupata taarifa za kuwapo kwa vurugu aliwatuma askari wake kwenda kumaliza mzozo.
"Msimamo wetu Jeshi la Polisi tumewaambia hao viongozi tuliowakamata nini cha kufanya, waende mahakamani wamalize mgogoro ili mwenye haki apewe, tusichotaka kusikia ni uvunjifu wa amani kwa raia sehemu yoyote," amesema Matei.
Viongozi wanaotajwa kukamatwa na Polisi ni pamoja na Askofu wa dayosisi ya Mbeya Magharibi, Judith Kajela, Mchungaji Atupele Mlawa na Mchungaji Lusajo Sanga.
Chanzo: Mwananchi
Hii hoja yako haina ukweli.Chanzo maslahi tu hapo
Hahaha
Ova
Naona jina Judith kajela kuwa ndo Baba Askofu mbeya magharibi, hili jina Judith ni mwanamke Sasa iweje ndo baba Askofu?Wakati mgogoro ukizidi kufukuta kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, Aprili 17, 2022 baadhi ya waumini wa usharika wa Mbalizi wamemzuia mchungaji wao, Atupele Mlawa kuingia kanisani na kusababisha kuvunjika kwa ibada.
Kutokana na vurugu hizo, Jeshi la Polisi mkoani humo limefika kanisani hapo na kukamata baadhi ya viongozi wa kanisa hilo.
Vurugu hizo zimetokea leo Jumapili Aprili 17 wakati Wakristo kote duniani wakisherekea siku kuu ya Pasaka.
Baadhi ya waumini waliozungumza na Mwananchi kanisani hapo wamesema vurugu zilianza baada ya baadhi ya waumini kufunga milango kumzuia mchungaji Mlawa kutoingia ndani kuendesha ibada wakidai kutumia vibaya mali za kanisa hilo.
Taarifa zaidi zimesema waumini wanaompinga Mchungaji Mlawa, wanamtaka Mchungaji Lusajo Sanga aliyechaguliwa hivi karibuni kwenye uchaguzi uliofanyika Machi 22 chini ya Kiongozi wa Kanisa hilo nchini, Dk Fredrick Shoo.
Hata hivyo, waumini wengine walipinga kitendo cha kufunga milango ya kanisa wakitaka mchungaji Mlawa aendelee na kazi yake na ndipo vurugu zilipozuka.
Akizunguka katika eneo la kanisa hilo, mmoja wa waumini, Jane Msingwa amesema baadhi ya waumini walisimama mlangoni wakipinga mchungaji Mlawa kuingia kanisani.
"Leo kilichotokea ni sintofahamu, mchungaji alikuja kuendesha ibada lakini watu wakakaa mlangoni hadi msaidizi wake akaingilia kati ila hali ilikuwa mbaya," amesema Jane.
Kwa upande wake Godfrey Mwasuku amesema wameamua kukaa mlangoni hapo kutokana na kukaidi kwa mchungaji huyo maelekezo kwani alishaandikiwa barua ya kuondoka kanisani hapo.
"Hiki kilichotokea leo ni kutokana na uongozi tulionao, ilipangwa ratiba ya ibada na huyu mchungaji Mlawa tulishamuandikia barua kuondoka, imeshangaza tunamuona amekuja ndio maana tukasema hatumtambui," amesema Mwasuku.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Ulrich Matei amesema baada ya kupata taarifa za kuwapo kwa vurugu aliwatuma askari wake kwenda kumaliza mzozo.
"Msimamo wetu Jeshi la Polisi tumewaambia hao viongozi tuliowakamata nini cha kufanya, waende mahakamani wamalize mgogoro ili mwenye haki apewe, tusichotaka kusikia ni uvunjifu wa amani kwa raia sehemu yoyote," amesema Matei.
Viongozi wanaotajwa kukamatwa na Polisi ni pamoja na Askofu wa dayosisi ya Mbeya Magharibi, Judith Kajela, Mchungaji Atupele Mlawa na Mchungaji Lusajo Sanga.
Chanzo: Mwananchi