Acha haya makanisa ya one man showMwingira
Huyo ni mkuu wa jimbo sio baba askofu nadhani kuna errors wakati wa uwasilishaji taarifa.Naona jina Judith kajela kuwa ndo Baba Askofu mbeya magharibi, hili jina Judith ni mwanamke Sasa iweje ndo baba Askofu?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hakuna kisichokuwa na changamoto,katoliki yenyewe ilivyo strong ilishakumbwa na migogoro ya ndan ndo ikapelekea kuanzishwa kwa lutheran,Anglican na orthodox,migogoro haiwezi kukosekana katika jamii ambayo kila mtu ana namna yake yakufikiri na kutenda cha muhimu nikuomba hekima kuweza kuondoa migogoro iliyopo kwa njia ambazo ni nzuri na hazitaleta uharibifu au utenganoHili ni moja ya madhehebu ya hovyo sana.Viongozi wa kiroho mnapigana? Tena mbele ya waumini? Cha kushangaza bado kuna waumini waaendelea kwenda
Nimeshakupa jina mkuuAcha haya makanisa ya one man show
Huku nako kuna mwili wa padre umekutwa kwenye simtank nyuma ya nyumba ya mapadreMkiambiwa Roman Catholic ni taasisi imara kibinadamu na kiroho msiwe mnakuwa wabishi. Hiyo ni laana ya kuasi kanisa la Kristu, na hii ni kwa all Protestants (they protested)
Usisahau na ya kulawitiHuku nako kuna mwili wa padre umekutwa kwenye simtank nyuma ya nyumba ya mapadre
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kanisa linafundisha kutii mamlaka. Sasa KKKT mamlaka zinaanzia wapi Kama siyo kwa kiongozi mkuu? Nauliza tu.Hili ni moja ya madhehebu ya hovyo sana.Viongozi wa kiroho mnapigana? Tena mbele ya waumini? Cha kushangaza bado kuna waumini waaendelea kwenda