TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
We koma, ile ni pesa ya rushwa ya radawalikuwa wanadai chenji ya rada.
We koma, ile ni pesa ya rushwa ya radawalikuwa wanadai chenji ya rada.
Bila shaka ni Namanga ya huku A town maana kama ni ya huko Dar nina hofu hawawezi hata kulitupia jiwe masafara wa huyu fisadi.
Wananchi wamechoka kwa kweli......sijui kwanini huyu jamaa hasomi alama za nyakati......Ingekuwa bab kubwa kama JK angepigwa jiwe jichoni
Hahahah nimejaribu ku imagine imebidi nichekeIngekuwa bab kubwa kama JK angepigwa jiwe jichoni
Anaelekea msitu wa PANDE
Clouds Fm wametangaza msafara wa Raisi wa popotelewa mawe
Froida ulitaka asipigwe mkuu kwani yy naniinabidi ajifikilie mara mbili Dar es Salaam siku zote wamekuwa nyuma yake lakini kama a na wao uzalendo umewashinda basi atamaliza kipindi chake kwa taabu mno
Halafu Usalama wa Taifa hovyo kabisa kama walijua kulikuwa na ugomvi wa wananchi kwa nini wampitishe Raisi njia hiyo hawa ni wapuuzi sana