Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Kabla ya kuhutubia katika Baraza la Idd, JK alikwenda BGM kwa yule bibi. Baada ya bibi kumaliza shughuli zake, jamaa alioneka kuwa na ujasiri. Siku chache zilizofuata, akahutubia ktk ule mkutano wa Idd na kuwapasha Waislamu waanzishe na kuigharamia Mahakama ya Kadhi wao wenyewe.
Taarifa za nini kilitokea huko Bagamoyo na hata njiani wakati wa kurudi toka Bagamoyo ajitulea JB (Jason Bourne).
Katika hali tete iliyopo sasa nchini, kenda huko kwa nani na ili aongee na nani?
Taarifa za nini kilitokea huko Bagamoyo na hata njiani wakati wa kurudi toka Bagamoyo ajitulea JB (Jason Bourne).
Katika hali tete iliyopo sasa nchini, kenda huko kwa nani na ili aongee na nani?