samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
ndio nani huyo ???????
Muulize Dr Ulimboka atakuhadithia vizuri..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio nani huyo ???????
Lukolo mbona unakuwa kama mjinga... hivi mfano bara bara kama ile watu wasipopisha huo msafara kwa kuendelea na magari yao kama kawaida, atapita wapi? Wakipark bara barani atapita wapi? wakiweka mawe, magogo atapita wapi? wakilala bara barani atapita wapi? Jamani hata hili tunahitaji Phd zenu za kubumba?
watu wamechoka kuonewa na maeneo yao kudhulumiwa na matajiri.Watu wasiojukikana walikuwa na nia gani wamezuia msafara wa Rais uliolukuwa unapita maeneo ya Namanga.
Watu hao walizuia kwa muda wa sakika kadha hivi kabla ya FFU kutinga maeneo hayo na kuwatimua na ndipo msafara ukapita mpaka sasa FFU wapo kwenye purukushani ya sombasomba maeneo hayo ya namanga.
Chanzo Nimepita hapo muda sio mrefu.
UKWELI:
kwa formula ya CDM inawezekana kwa zile za usalama si kazi nyepesi kuzuia msafara wa Rais kama unavyozuia raia wa kawaida.... kumbuka kabla Rais hajapita njia imejaa wanausalama wenye mavazi na wasio na mavazi.
kabla hajazuiawa taarifa zinafika...
Wabongo kwa kupenda tetesi!
Sasa ALOTOA TAARIFA YA RAIS KUPITA NI NANI MPAKA WANANCH WAKAJIANDAA ILI KUUZUIA? BADO NASHINDWA KUAMINI KAMA KWELI.
Mmmh, sijui maana kwa ule msafara wa Rais unavyokuwaga, sioni kabisa hiyo nafasi ya wananchi kuweza kusimama tu barabarani na kuzuia, otherwise waliambiwa kwamba Rais angepita maeneo hayo. Na sijui wakati wa kuzuia barabara walianzaje, ina maana walizuia na magari ya kawaida? Anyway sijui, but nafikiri ni jambo gumu sana, bora mngesema wameupopoa kwa mawe, lakini si kuzuia.
Mambo mengine mleta Mada kachanganya habari. Mosi kulikuwa na Uvunjaji wa nyumba hapo Namanga- Tegeta kwa hiyo kulikuwa na Mabaunsa waliokuwa wakifanya fujo ndipo Polisi wakaingilia kati. Kupita kwa Rais hakuna uhusiano na tukio hilo
Ninatamani kujibu kwa niaba ya MAMA POROJO sina uhakika kama kuna mahali msafara wa rais uliwahi kusimamishwa na yeye akakubali kusimama bila ruhusa ya wana usalama. Msafara wa Rais umekuwa mara nyingi ukizuiwa wakati wa kampeni na si wakati akiwa yupo kwenye shughuli za kikazi. Hata wakati wa kampeni kwenyewe kuna baadhi ya maeneo ambayo Rais halazimika kupunga mikono tu na si kusimama. Yote hayo yanategemeana na taarifa za wanausalama. Hivi msafara wa Rais muusimaishe tu popote akiuawa? Au hujui kwamba kila anachokifanya ni lazima kihakikiwe na vyombo vya usalama? Taratibu mkuu!Mama Porojo, naomba nikuulize swali rahisi, msafara wa rais, tena huyu aliye madarakani haujawahi kuzuiwa na wananchi?Mpaka akaongea nao? kma jibu ni Yes, ilikuwaje?
Mtoa habari funguka zaidi, hebu ongeza nyama kidogo!
Tuliambiwa yuko canada namanga kapita saa ngapi tena?????mmmmmh