Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

udaku street hiyo kuzuia msafara wa Rais ni jambo linalowezekana pengine walikuwa na shida ya kumweleza Rais lakini JF tunachukulia kuwa wamezuia kumpopoa mawe...... stupid thinking

Mbona unatokwa povu kama sabuni ya omo?
Rais wako kazuiwa leo.
 
Habari zinazosambaa ni kuwa kumetokea mapambano makali kati ya vyombo vya usalama na raia huko Tegeta jijini Dar, ambayo inaelezwa polisi wetu kama ilivyo kawaida yao kwa siku hizi badala ya kutimiza wajibu wao mkuu wa kulinda raia na mali zao, wao wametumia nguvu za kupitiliza walipotaka kuvunja nyumba za wananchi maeneo hayo, hali iliyosababisha wananchi wagomee uonevu huo, jambo lillopelekea polisi wetu kutumia silaha za moto, jambo lililosababisha hadi napost hii thread, inasemekana raia wawili weshapoteza maisha! Mwenye habari zaidi atujuze
 
wangeunganisha tu wajifanye hawaja notice huo msafara na wafanye kama mbeya, pofoa mawe hadi kieleweke
 
Sahvi wananchi tunajilinda na kujihami sisi wenyewe hata aje nani,kwani polisi nao si majambazi ama kwa vile wanavaa sare ...nchi haitatawalika tena.
 
Habari zinazosambaa ni kuwa kumetokea mapambano makali kati ya vyombo vya usalama na raia huko Tegeta jijini Dar, ambayo inaelezwa polisi wetu kama ilivyo kawaida yao kwa siku hizi badala ya kutimiza wajibu wao mkuu wa kulinda raia na mali zao, wao wametumia nguvu za kupitiliza walipotaka kuvunja nyumba za wananchi maeneo hayo, hali iliyosababisha wananchi wagomee uonevu huo, jambo lillopelekea polisi wetu kutumia silaha za moto, jambo lililosababisha hadi napost hii thread, inasemekana raia wawili weshapoteza maisha! Mwenye habari zaidi atujuze

Kuna mwenzio aliposti kuwa msafara wa JK wazuiwa na wewe waleta topic hiyo kwa kutuaminisha kuwa kuwa kulikuwa na mapambano baina ya askari na raia acha uzushi. Mabaunza walikuwa wanaleta vurugu nyumba isibomolewe ndipo yakapigwa mabomu ya machozi acheni uzushi jamani. Kila kitu kibaya ni kwa Polisi tu au mmeanza kulishwa sumu za Mauaji ya Kimbari
 
Liwalo na liwe tuuuu, udhalimu tushauchoka hakuna cha Rais wala rais wote ni dhaifu tuu
 
Kuna mwenzio aliposti kuwa msafara wa JK wazuiwa na wewe waleta topic hiyo kwa kutuaminisha kuwa kuwa kulikuwa na mapambano baina ya askari na raia acha uzushi. Mabaunza walikuwa wanaleta vurugu nyumba isibomolewe ndipo yakapigwa mabomu ya machozi acheni uzushi jamani. Kila kitu kibaya ni kwa Polisi tu au mmeanza kulishwa sumu za Mauaji ya Kimbari

Aliyeleta habari ya Msafara wa mkuu kuvamia aliipata taharifa vibaya. Ni coincidence Msafara wa mkuu ulikuwa Tegeta kwenda Bagamoyo wakati wa vurugu zikiendelea
 
Watu wasiojukikana walikuwa na nia gani wamezuia msafara wa Rais uliolukuwa unapita maeneo ya Namanga.

Watu hao walizuia kwa muda wa sakika kadha hivi kabla ya FFU kutinga maeneo hayo na kuwatimua na ndipo msafara ukapita mpaka sasa FFU wapo kwenye purukushani ya sombasomba maeneo hayo ya namanga.

Chanzo Nimepita hapo muda sio mrefu.

UKWELI:

Mwambieni Kurunzi Asikurupuke tu na kurusha habari.
 
udaku street hiyo kuzuia msafara wa Rais ni jambo linalowezekana pengine walikuwa na shida ya kumweleza Rais lakini JF tunachukulia kuwa wamezuia kumpopoa mawe...... stupid thinking
This is Funny.............wamuelezi nini?? labda wamrudishe pale Muhimbili akaongee na Madaktari, sio anakimbilia Bagamoyo kuagua!!
:yawn::yawn:
 
Niko eneo la tukio......ni Namanga ya Tegeta na nikweli wananchi walifunga njia baada ya kusikia rais anakuja....ni coincidence kuwa matukio yamegongana....sasa hivi yale magiri washa yameshafika.....mabaunsa wameuawa na pia inadaiwa Polisi wameua waliofunga barabara wawili....bado nafuatilia kiintelijinsia...ila nyumba zimevunjwa sana tu
 
Wenzake wanazuiwa ili wananchi wasukume gari lao, yeye anazuiwa ili apigwe mawe!
Yangu macho.

Si kwa sababu wanajua ndio mchawi wa maisha yao bado siku atakapovamiwa IKULu na kuzabwa vibao na wananchi kama raisi wa Mali alivyofanywa
 
Habari zinazosambaa ni kuwa kumetokea mapambano makali kati ya vyombo vya usalama na raia huko Tegeta jijini Dar, ambayo inaelezwa polisi wetu kama ilivyo kawaida yao kwa siku hizi badala ya kutimiza wajibu wao mkuu wa kulinda raia na mali zao, wao wametumia nguvu za kupitiliza walipotaka kuvunja nyumba za wananchi maeneo hayo, hali iliyosababisha wananchi wagomee uonevu huo, jambo lillopelekea polisi wetu kutumia silaha za moto, jambo lililosababisha hadi napost hii thread, inasemekana raia wawili weshapoteza maisha! Mwenye habari zaidi atujuze

mystery who???
 
Back
Top Bottom