Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,553
- 1,378
Mwelekeo wa uchumi wa Tanzania baada ya miezi 3 ya utawala wa Rais Kikwete ni mbaya kuliko tulivyohofia! Quartely Econmic Review iliyofanywa na BoT pamoja na wanauchumi wengine wa Afrika Mashariki inaonyesha hali ya umbio wa kudorora uchumi ambao kasi yake ni zaidi ya mategemeo ya watu wote.
JK hana dira ya kupambana na energy crisis iliyojitokeza. Athari zake bado zinaongezeka, na haelekei kujihusisha kikweli na kutafuta jibu.
JK alipokea nchi ambayo uchumi wake ulikuwa unakuwa vizuri, na kasi ya kukua kwake ilikuwa inaongezeka kila mwaka, hata kukiwepo ukame. Alikabidhiwa taifa lenye GDP growth rate ya 7% na ambayo ilikadiriwa kufikia 7.2% mwaka huu. Chini ya uongozi wake, GDP growth rate hiyo imeshuka hadi kufikia 5.8%, na inazidi kushuka.
JK alikabidhiwa taifa lenye inflation rate ya 4%, na kwa kipindi kifupi tu ameiacha ikapanda hadi kufikia 5% sasa, na mwelekeo ni kuongezeka siku za karibuni hadi 6%.
Baraza kubwa la mawaziri wa JK na matumizi yao mabaya yameongeza quartely government spending kwa kiasi cha sh. 157 billion. Hizo ni fedha nyingi sana kwa nchi kama yetu.
Interest rate za Treassury bills zilikuwa 10.4% wakati JK anachukua nchi. Sasa zimefika 14.8%. Hii ni rate kubwa sana (linganisha na Kenya ambapo interest rate on Tbills ni 6.7% only).
Serikali ya JK imetumia fedha nyingi sana, lakini wakati huo huo imepunguza matumizi kwenye vitu muhimu kama mikopo ya wanafunzi! UDSM watoto wanahaha njaa kutokana na kutopewa mikopo.
Kinachoogopesha zaidi ni ukweli kwamba hadi sasa, JK amekuwa na maneno mengi lakini matendo hakuna. Anatoa ahadi kibao, lakini maswala muhimu kama mikakati ya kushughulikia tatizo la umeme (and energy as a whole), na inflation, hana muda nayo.
Ndege ya JK ni nzuri, lakini sio lazima aruke nayo kila siku. Atulie ofisini kidogo ajenge VISION ya namna ya kuongoza nchi.
Kwa maoni yangu, JK angepashwa kuendelea kuwategemea Kigoda na Mramba waongoze uchumi wetu. They have a vision while he doesn't. Hao Waswahili anaoambatana nao hawana dira ya maendeleo! Wanatupeleka kwenye umasikini zaidi na zaidi.
Augustine Moshi
JK hana dira ya kupambana na energy crisis iliyojitokeza. Athari zake bado zinaongezeka, na haelekei kujihusisha kikweli na kutafuta jibu.
JK alipokea nchi ambayo uchumi wake ulikuwa unakuwa vizuri, na kasi ya kukua kwake ilikuwa inaongezeka kila mwaka, hata kukiwepo ukame. Alikabidhiwa taifa lenye GDP growth rate ya 7% na ambayo ilikadiriwa kufikia 7.2% mwaka huu. Chini ya uongozi wake, GDP growth rate hiyo imeshuka hadi kufikia 5.8%, na inazidi kushuka.
JK alikabidhiwa taifa lenye inflation rate ya 4%, na kwa kipindi kifupi tu ameiacha ikapanda hadi kufikia 5% sasa, na mwelekeo ni kuongezeka siku za karibuni hadi 6%.
Baraza kubwa la mawaziri wa JK na matumizi yao mabaya yameongeza quartely government spending kwa kiasi cha sh. 157 billion. Hizo ni fedha nyingi sana kwa nchi kama yetu.
Interest rate za Treassury bills zilikuwa 10.4% wakati JK anachukua nchi. Sasa zimefika 14.8%. Hii ni rate kubwa sana (linganisha na Kenya ambapo interest rate on Tbills ni 6.7% only).
Serikali ya JK imetumia fedha nyingi sana, lakini wakati huo huo imepunguza matumizi kwenye vitu muhimu kama mikopo ya wanafunzi! UDSM watoto wanahaha njaa kutokana na kutopewa mikopo.
Kinachoogopesha zaidi ni ukweli kwamba hadi sasa, JK amekuwa na maneno mengi lakini matendo hakuna. Anatoa ahadi kibao, lakini maswala muhimu kama mikakati ya kushughulikia tatizo la umeme (and energy as a whole), na inflation, hana muda nayo.
Ndege ya JK ni nzuri, lakini sio lazima aruke nayo kila siku. Atulie ofisini kidogo ajenge VISION ya namna ya kuongoza nchi.
Kwa maoni yangu, JK angepashwa kuendelea kuwategemea Kigoda na Mramba waongoze uchumi wetu. They have a vision while he doesn't. Hao Waswahili anaoambatana nao hawana dira ya maendeleo! Wanatupeleka kwenye umasikini zaidi na zaidi.
Augustine Moshi