Mgambo wa jiji wamepewa kipigo cha mbwa mwizi. Msako wa wengine unaendelea kwa kasi. Na raia. More to follow
Taarifa zikamfikia mkuu wa kituo. Akawapa mamlaka wamachinga woote wa kariakoo kuwasaka mgambo wa city popote walipo na wampelekee kituoni, bila kujali wako katika hali gani.
Na wanafanya vurugu hizo kwa ruhusa ya RPC?Mkuu mambo xanafanyika peupe. Mpaka sasa makundi ya vijana yanazunguka kusaka wanamgambo yakipiga makelele kuwa wamezidi kutuonea hawa.
Mgambo wa jiji wamepewa kipigo cha mbwa mwizi. Msako wa wengine unaendelea kwa kasi. Na raia. More to follow
Aisee we mkaleeee, unatufitinisha na Serikali yetu tukufu? Hivi mkuu gani wa kituo anaweza kuwapa amri raia kukamata mgambo ili wawafikishe kituoni? Hivi hujui "People Militia" ni gheshi kama ilivyo magheshi mengine? Wewe kijana utafungwa! Leo sio siku ya wajinga ni Maulid (kuzaliwa kwa Mtume S.A.W)..
--- Ebu. Weee mhudumu lete Castle Lite Baridiii na mwambie Rama kule Jikoni atuletee Kitu Mnyama kilo 2 fasta!! (
Aisee we mkaleeee, unatufitinisha na Serikali yetu tukufu? Hivi mkuu gani wa kituo anaweza kuwapa amri raia kukamata mgambo ili wawafikishe kituoni? Hivi hujui "People Militia" ni gheshi kama ilivyo magheshi mengine? Wewe kijana utafungwa! Leo sio siku ya wajinga ni Maulid (kuzaliwa kwa Mtume S.A.W)..
--- Ebu. Weee mhudumu lete Castle Lite Baridiii na mwambie Rama kule Jikoni atuletee Kitu Mnyama kilo 2 fasta!! (
Mkuu nilikuwapo eneo la tukio. Nimeshuhudia mgambo wakikamatwa na kupelekwa msimbazi, kisha makundi ya vijana kuondoka kwa mchaka mchaka kuelekea karume kuwasaka wengine. Kwenye tukio mojawapo nimeshuhudia vijana wakitawanywa na polisi baada ya kulazimisha wawapige mgambo. Ilikuwa maeneo ya stendi ya mbagala pale round about....mkuu, Upo kwenye tukio live ama na Wewe Unahadithiwa tu Kama Unavyotuhadithia Sisi?????
Mkuu nilikuwapo eneo la tukio. Nimeshuhudia mgambo wakikamatwa na kupelekwa msimbazi, kisha makundi ya vijana kuondoka kwa mchaka mchaka kuelekea karume kuwasaka wengine. Kwenye tukio mojawapo nimeshuhudia vijana wakitawanywa na polisi baada ya kulazimisha wawapige mgambo. Ilikuwa maeneo ya stendi ya mbagala pale round about.