ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,141
- 950
Kamanda, mambo ya Kitunda, Banana, Kipunguni kwa wauza mayai Mulla. Huku hata TRA, SUMATRA na EWURA ni magheshi! Tupo hapa nyuma ya kituo cha Banana Mulla, unapata kitimoto mchicha wangu! Achaa acha kabisa aisee bora wafe askari polisi 6 kuliko Mkurya mmoja raia mulla!...kamanda wapi hiyo jomba..