Kuna mahusiano yoyote na masuara ya dini?
Jamani mgambo wanapitishwa kila baada ya muda mfupi wakipelekwa kituoni hata kama hamuamini!
Sasa kama leo ni mgambo na polisi hapa nani kachochea ni chadema pia....?
Aisee we mkaleeee, unatufitinisha na Serikali yetu tukufu? Hivi mkuu gani wa kituo anaweza kuwapa amri raia kukamata mgambo ili wawafikishe kituoni? Hivi hujui "People Militia" ni gheshi kama ilivyo magheshi mengine? Wewe kijana utafungwa! Leo sio siku ya wajinga ni Maulid (kuzaliwa kwa Mtume S.A.W)..
--- Ebu. Weee mhudumu lete Castle Lite Baridiii na mwambie Rama kule Jikoni atuletee Kitu Mnyama kilo 2 fasta!! (
Yaani hapo umeona umeitetea Serikali ya magamba kweli kumbe umeivua nguo....Mgambo na polisi..Kikwete ana kazi jana ilikuwa polisi na wananchi, kesho ni ikulu na wanajeshi..hivi kikwete kasharudi?
sasa hivi ulinzi na usalama uko chini ya raia, coz askari wote wameshindwa kazi na wao wanapewa kisago kama kawa.
hii inanikumbusha wakati niko shule serikali poa unakuta viongozi wanapigwa na raia afu serikali ya wanafunzi inashinwa cha kufanya coz inawaogopa wababe.
ndo serikali ya JK imeshindwa kudhibiti mpaka raia wanajichukulia sheria mkononi, kwa sasa ni kawaida waziri na hata Rais mwenyewe kupopolewa mawe na kuzomea. haya yamemtokea JK mwenyewe na mawaziri kadhaa. hii nchi tunakoelekea kwa sasa naona giza nene badala ya nuru. Mungu atuepushe na hizi vurugu.
Habari nillizozipata jana kuna chinga mmoja alipigwa sana na wagambo wa jiji bila sababu. Akaenda kushitaki polisi msimbazi. Leo afisa mmoja wa polisi akiwa hajavaa uniform akamchukua huyo chinga ili amwonyeshe hao mgambo waliompiga. Badala yake wale mgambo wakamchapa sawa sawa yule afisa na kumnyanganya bunduki yake.
Akili za kichadema bana kila sehemu siasa.
Aisee we mkaleeee, unatufitinisha na Serikali yetu tukufu? Hivi mkuu gani wa kituo anaweza kuwapa amri raia kukamata mgambo ili wawafikishe kituoni? Hivi hujui "People Militia" ni gheshi kama ilivyo magheshi mengine? Wewe kijana utafungwa! Leo sio siku ya wajinga ni Maulid (kuzaliwa kwa Mtume S.A.W)..
--- Ebu. Weee mhudumu lete Castle Lite Baridiii na mwambie Rama kule Jikoni atuletee Kitu Mnyama kilo 2 fasta!! (
...kamanda wapi hiyo jomba..
Walinitia hasara sana Dar es Salaam ile ya Makamba !
Walikupora masufuria ya ubwabwa nini!?