Vuguvugu la Muungano taratibu linaanza kupata joto

BIG THINKER

JF-Expert Member
May 20, 2018
680
1,420
Niliwahi kusema Muungano wa Tanzania una makosa na mapungufu mengi kiutekelezaji tunakoenda tutake tusitake utavunjika kama hautafanyiwa mabadiliko kufatia kero za kimuungano zilizopo.

Mfano;
1. Mzazibari anaweza kumiliki ardhi bara lakini mtanganyika Hilo kwa Zanzibar haliwezekani.

2. Mzanzibari anaweza kupewa Uongozi bara lakini Mtanganyika hilo haliwezekani. Mfano watu wamehoji sana Shaka kupewa Ukuu wa Wilaya Tanzania bara wakati Mtanganyika huwezi kuwa Mkuu wa Wilaya Zanzibar.

3. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikikusanya kodi Zanzibar fedha hizo zinabaki huko kwa ajili ya matumizi ya Zanzibar, pia kuna Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) ambayo nayo inakusanya mapato lakini pia nayo yanabaki kuwa kwenye matumizi ya Zanzibar.

4. Kutozwa kodi ya bidhaa pale unaponunua bidhaa kutoka upande mmoja wa Muungano.
 
Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!

Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.
 
Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!

Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.

Siku moja na wao hakitawatosha.
 
Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!

Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.
Hayo ni mawazo yako au ya wazanzibari? Je katiba pendekezwa ya Mzee Warioba wenyewe walisemaje?
 
Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko,
Kwa hio unataka kutuaminisha kwamba Zanzibar sio Nchi bali ni Mkoa? maana idadi ya watu wake kwa mujibu wa Sensa inazidiwa hata na Tabora au Mwanza, ukiacha mbali Dar

Ulisikia wapi mzanzibar anakatazwa kununua Ardhi Simiyu au Katavi? Wapi ulisikia? Ila wewe wa bara marufuku kununua Ardhi ya Zanzibar labda km unaenda kufanya uwekezaji kwenye Ardhi ya Zanzibar km alivyofanya SSB
 
Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!

Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.
Population ya Ukerewe na ukubwa wa eneo ni mkubwa kuliko Zanzibar.Hakuna sheria inayotukataza kumiliki ardhi Ukwerewe kwasababu ya msongamano na udogo wa eneo.

Ukitaka kwenda Ukerewe ukaacha kwenda Morogoro au Handeni ambako ardhi ipo bwerere ni uamuzi wako na si makatazo ya kikatiba na kisheria.
 
Niliwah kusema Muungano wa Tanzania una makosa na mapungufu mengi kiutekelezaji tunakoenda tutake tusitake utavunjika kama hautafanyiwa mabadiliko kufatia kero za kimuungano zilizopo.


Mfano
1....Mzazibari anaweza kumiliki ardhi bara lakin mtanganyika Hilo kwa Zanzibar haliwezekan.

2....Mzanzibar anaweza kupewa UONGOZI bara lakin mtanganyika Hilo haliwezekan,Mfano watu wamehoji sana Shaka kupewa ukuu wa wilaya Tanzania bara wakati mtanganyika huwez kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar
Tanganyika haipo,ilishauawa na watanganyika wenyewe,muwe mnaelewa,Kuna serikali mbili tu,ya Zanzibar..ambako asiye mzanzibar hawezi shika nyadhifa huko na serikali ya muungano ambayo ni ya wote,hakuna serikali ya Tanzania Bara enyi punguani
 
Ukichukua chumvi kijiko kimoja ukakimwaga kwenye pipa la maji, maji hayataharibika kwa chumvi na chumvi itapotelea kwenye maji.

Wazanzibari wakiwa sehemu ya Tanganyika ni rahisi kumezwa na kuwa watanganyika, ila watanganyika wakiwa sehemu ya wanzanzibari, wanzanzibari watapigana wakiamini wamevamiwa ardhi yao.
 
Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!

Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.
Huko sawa kweli ww?!🤨
 
Kwa hio unataka kutuaminisha kwamba Zanzibar sio Nchi bali ni Mkoa? maana idadi ya watu wake kwa mujibu wa Sensa inazidiwa hata na Tabora au Mwanza, ukiacha mbali Dar

Ulisikia wapi mzanzibar anakatazwa kununua Ardhi Simiyu au Katavi? Wapi ulisikia? Ila wewe wa bara marufuku kununua Ardhi ya Zanzibar labda km unaenda kufanya uwekezaji kwenye Ardhi ya Zanzibar km alivyofanya SSB
SSB Mzanzibari yule
 
Niliwah kusema Muungano wa Tanzania una makosa na mapungufu mengi kiutekelezaji tunakoenda tutake tusitake utavunjika kama hautafanyiwa mabadiliko kufatia kero za kimuungano zilizopo.


Mfano
1....Mzazibari anaweza kumiliki ardhi bara lakin mtanganyika Hilo kwa Zanzibar haliwezekan.

2....Mzanzibar anaweza kupewa UONGOZI bara lakin mtanganyika Hilo haliwezekan,Mfano watu wamehoji sana Shaka kupewa ukuu wa wilaya Tanzania bara wakati mtanganyika huwez kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar
Mbona yule CHARLES HILARY ni mbongo ila ni mkurugenzi wa mawasiliano ikulu Zanzibar ...hapo mnasemaje?
Muungano hauna shida ..shida ni sisi watz uelewa wetu mdogo na roho mbaya
 
Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!

Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.

Acha kutetea ujinga,hawako sawa hata kidogo,kwanini utake cha mwenzio chako hutaki?
 
Kwa hio unataka kutuaminisha kwamba Zanzibar sio Nchi bali ni Mkoa? maana idadi ya watu wake kwa mujibu wa Sensa inazidiwa hata na Tabora au Mwanza, ukiacha mbali Dar

Ulisikia wapi mzanzibar anakatazwa kununua Ardhi Simiyu au Katavi? Wapi ulisikia? Ila wewe wa bara marufuku kununua Ardhi ya Zanzibar labda km unaenda kufanya uwekezaji kwenye Ardhi ya Zanzibar km alivyofanya SSB

Kwani lazima nikawekeze??je kama nataka kwenda kuishi visiwani na kufanya maisha huko?
 
Population ya Ukerewe na ukubwa wa eneo ni mkubwa kuliko Zanzibar.Hakuna sheria inayotukataza kumiliki ardhi Ukwerewe kwasababu ya msongamano na udogo wa eneo.

Ukitaka kwenda Ukerewe ukaacha kwenda Morogoro au Handeni ambako ardhi ipo bwerere ni uamuzi wako na si makatazo ya kikatiba na kisheria.
Znz ni NCHI jua tofauti hapo.... kila hoja ya Muungano hua mnaleta habari za Ardhi kwani yenu haiwatoshi???
 
Niliwah kusema Muungano wa Tanzania una makosa na mapungufu mengi kiutekelezaji tunakoenda tutake tusitake utavunjika kama hautafanyiwa mabadiliko kufatia kero za kimuungano zilizopo.


Mfano
1....Mzazibari anaweza kumiliki ardhi bara lakin mtanganyika Hilo kwa Zanzibar haliwezekan.

2....Mzanzibar anaweza kupewa UONGOZI bara lakin mtanganyika Hilo haliwezekan,Mfano watu wamehoji sana Shaka kupewa ukuu wa wilaya Tanzania bara wakati mtanganyika huwez kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar
Hoja yako imekaa kihisia kuliko uhalisia

Tuujadili Muungano na kuutibu kabla ya Katiba Mpya
 
Kwa hio unataka kutuaminisha kwamba Zanzibar sio Nchi bali ni Mkoa? maana idadi ya watu wake kwa mujibu wa Sensa inazidiwa hata na Tabora au Mwanza, ukiacha mbali Dar

Ulisikia wapi mzanzibar anakatazwa kununua Ardhi Simiyu au Katavi? Wapi ulisikia? Ila wewe wa bara marufuku kununua Ardhi ya Zanzibar labda km unaenda kufanya uwekezaji kwenye Ardhi ya Zanzibar km alivyofanya SSB
Wapi nimesema Znz ni Mkoa?? Nchi kua na Idadi ndogo ya Watu sio hoja, unaweza ukagoogle nchi zingine,

Halafu hayo maswali yako ndio niliyoyajibu, nyinyi mpo wengi mtadidimiza kisiwa cha Watu na kuharibu historical heritages zao, mbona ving'ang'anizi hivyo!?
 
Tanganyika haipo,ilishauawa na watanganyika wenyewe,muwe mnaelewa,Kuna serikali mbili tu,ya Zanzibar..ambako asiye mzanzibar hawezi shika nyadhifa huko na serikali ya muungano ambayo ni ya wote,hakuna serikali ya Tanzania Bara enyi punguani
Mkuu wambie hao punguani.
 
Back
Top Bottom