Vua Gamba Vaa Gwanda Yapata Dhoruba Lindi

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.
 
Haaaaa
CDM haina sera za kusaidia cc wamachinga..... Kwan walituchefua na kutudharau miaka mingi!!!! With wrong belief eti tunakula watu!!!

Kwa hiyo swali langu ni lilelile , tangu lini mmakonde amuoe mchaga!!!???

CCM hawana jipya... Tulidhan CUF ingetuokoa kumbe ni Zanzibar tuuuuu

Nadhan watu wa kusini tuanzishe chama chetu ndio suluhisho!!!!!
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.
 
Mtoa maada si zani kama yuko Huko, make now day magamba wameingiwa na hofu sana make hiyo mikoa ndo huwa wanapita bila kupingwa, si ndo kwa kina membe huko?
 
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.
hivi LINDI iko kwenye orodha ya mikoa ILIYOENDELEA au MASKINI?
 
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.

Eti mashule ya kumwaga!? Acha kukebehi watu wa lindi wewe!!
 
Roma haikujengwa kwa siku moja tuu. Na lindi hatutapadharau bali tutaendelea kuwaelimisha na kuwahamashisha mpaka kieleweke ccm ipende isipende tayari imeshapoteza mvuto lindi.
 
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.
Mitaa yote uliyo itaja ipo Lindi mjini na jimbo lipo mikononi mwa cuf,sasa bendera za ccm zimetoka wapi? ungesema mji umetanda bendera za cuf ningekuelewa ACHA UZUSHI
 
naona mnakumbukia enzi za kushika hatamu.
giz lilishaondoka na pambazuko jipya limeonekana.
 
nawapenda sana watu kama wewe hii kwani mnatusaidia sana kujua kuwa bado magamba yapo na tusilale it is better mkaongzeka humu jamvini ili mtupe kazi ya kufanya na hatimaye kuwakomboa wote kifikra
 
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.
Haya mtoto mzuri kazi nzuri,nenda kamuone kaka NAPE akupe hela ya Chai, SUBIRINI TU KIVUMBI CHA HUKO AFU NDO MRUDI HAPA JAMVINI
 
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.

unasemaje mkuu..!!!!!
sikusikiiiiiiiii
 
Haaaaa
CDM haina sera za kusaidia cc wamachinga..... Kwan walituchefua na kutudharau miaka mingi!!!! With wrong belief eti tunakula watu!!!

Kwa hiyo swali langu ni lilelile , tangu lini mmakonde amuoe mchaga!!!???

CCM hawana jipya... Tulidhan CUF ingetuokoa kumbe ni Zanzibar tuuuuu

Nadhan watu wa kusini tuanzishe chama chetu ndio suluhisho!!!!!

Mpuuzi hujui unachokiandika. Baba yenu Che-Nkapa kaoa mtu wa kabila gani!
 
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.

Wewe unaongelea sehemu kuna japo bendera? Embu warudishie majibu kuwa Igunga haikuwa hata moja na sasa ukienda zimemea kama uyoga. kwataarifa yako wewe na wenzio muelewe hata huko Kaskazini kulikuwa na bendera za CCM na tukaingia. Tatizo la kutangaza matokeo hata mechi haijaanza huwa linaashiria woga na woga ukiukubali utashindwa kumkabili adui yako, nakushauri kajipange ujipropagandishe upya.
 
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.

Uthibitisho ni jambo bora,kama huna vitendea kazi kaa kimya. Weka picha tuone,mfano ile sunami ya jangwani jmosi mimi uthibitisho ninao picha.Hasa sehemu inayosema wezi wapo wengi, kamata wezi men. Juzi watendaji wenu wamefungiwa milango hilo hulioni! Unaingia jf kuandika uzushi utakusaidia nn? Lindi na Mtwara mikutani inaanza leo tusubiri, yaelekea mmechanganyikiwa hasa baada ya wananchi kujua haki zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom