MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Nikitinga mitaa ya Mtanda, Jamhuri, Mitwelo, Kariakoo, Mikumbi, Mpilipili, Sabasaba; Manispaa ya Lindi imepambwa na bendera za CCM kukiwa na uchache wa bendera za Chadema. Wananchi wa Lindi wamesikika wakinena hawatadanganyika na kujiunga na chama cha Kaskazini, wao sio watu wa kufanywa wa mwisho. Hawatafanya kosa kuiacha CCM iliyoiunua maisha ya Lindi kuipitia sera nzuri mfano ujenzi wa barabara na mashule ya kumwaga.
You are yet another prophet of doom; "Nabii wa kiama"; kwa sasa hakuna kitu cha kuizuia CDM kwa sasa; iwe mizinga, jela na hata vifo; hata hao Walindi wanakaribia kuamka; bado wewe! RIGHT will triumph over MIGHT; SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU: Mungu atasikiliza kilio cha watu, bila shaka uliona kilichojiri CDM SQUAREjumamosi iliyopita.
time is nigh; the writing is on the BIG SCREEN