Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Mlima Kilimanjaro tayari unafahamika kwa jinsi ulivyo, acha Wakenya, Wasauzi na wengineo wapige kura zao. Chema chajiuza, kibaya cha jitembeza na waache wafu wazike wafu wao. Siyo mbaya ukiupigia kura japo hata ukishinda au ukishindwa ukweli uko pale pale.