Sipigi kura ng'o,maana wanao ufaidi ni wakenya.
nadhani wao ndo wange upigia kwa sana ili waendelee kupata watalii
Yaani nimesoma mchango ya wengi humu JF kweli nimejua wengi ni mataahira kama si machizi. Kuupigia mlima kili ni bure unaweza kupiga kupitia internet au simu, Bure. Halafu huo si kwa manufaa ya kikwete ni ya waTZ wote. wenzetu SA wanapiga kuwa za kufa mtu kwa ajili ya uli mlima wao wa table. lakini mitaahira ya bongo hata mlima wao hayataki.
kumbukeni hii itatusaidia mlima wetu kujulikana kuwa upo TZ na itakuwa faida za vizazi na vizazi.
Nimeupigia
Tuwe wazalendo wa Ukweli
Tuupigie kura Mlima Kilimanjaro ili uingie maajabu SABA (7 ) mapya ya Dunia
Ili kuupigia tuma Neno " KILI " kwenda 15771
me lav zistupige kura wale wanyama walioibwa warudi.
Zimebaki siku nne tu kwa fursa ya kupiga kura kufungwa. Pia unaweza kupiga kura yako online kwa kufungua linki hii hapa chini:
Vote | New7Wonders of Nature
dili la sms hizo.
Kama sms 1 ita cost sh.150 ukatoa sh. 58 unabakiwa na 92 ukizidisha mara watu milioni 3 kwa siku mara siku 20 huoni ni utajiri wa kutupwa?
huwezi mlazimisha punda kunywa maji acha utaahira wako.Yaani nimesoma mchango ya wengi humu JF kweli nimejua wengi ni mataahira kama si machizi. Kuupigia mlima kili ni bure unaweza kupiga kupitia internet au simu, Bure. Halafu huo si kwa manufaa ya kikwete ni ya waTZ wote. wenzetu SA wanapiga kuwa za kufa mtu kwa ajili ya uli mlima wao wa table. lakini mitaahira ya bongo hata mlima wao hayataki. kumbukeni hii itatusaidia mlima wetu kujulikana kuwa upo TZ na itakuwa faida za vizazi na vizazi.
gud analysis dude! mafisadi in another shapeDili la sms hizo.
kama sms 1 ita cost sh.150 ukatoa sh. 58 unabakiwa na 92 ukizidisha mara watu milioni 3 kwa siku mara siku 20 huoni ni utajiri wa kutupwa?
una akili sana,hilo la ongezeko la watalii ndo limenifanya nisiupigie kura!ili iwaje?
ongezeko la watalii means ongezeka la hela zitakazoporwa na mafisadi.
Zimebaki siku nne tu kwa fursa ya kupiga kura kufungwa. Pia unaweza kupiga kura yako online kwa kufungua linki hii hapa chini:
Vote | New7Wonders of Nature
Maajabu hayapigiwi KURA!
Kwann unalazimisha? Piga wewe kimya kimya au na wewe ndo mmoja wao nini? Maajabu yanakuja naturally na siyo kwa kupigiwa kura.nilikuwa sijui kama una upeo mdogo hivi wakufikiria. Wewe unafikiri hawa mafisadi watakaa milele?
Jamani acheni kufanya mzaa kwenye mambo serious yanayohusu taifa. Tuma neno kilimanjaro kwenda 15771 BURE. Hutotozwa hata senti moja.
Yaani nimesoma mchango ya wengi humu JF kweli nimejua wengi ni mataahira kama si machizi. Kuupigia mlima kili ni bure unaweza kupiga kupitia internet au simu, Bure. Halafu huo si kwa manufaa ya kikwete ni ya waTZ wote. wenzetu SA wanapiga kuwa za kufa mtu kwa ajili ya uli mlima wao wa table. lakini mitaahira ya bongo hata mlima wao hayataki.
kumbukeni hii itatusaidia mlima wetu kujulikana kuwa upo TZ na itakuwa faida za vizazi na vizazi.
leo waziri wa utalii ni maige lakini si ajabu kesho na kesho kutwa ukawa wewe au mtoto wako au ndungu yako.
Narudia tena. Ambaye anakataa chance ya waziwazi kama hii hayuko mbali sana na utaahira na nashauri aanze kusogelea pale Dodoma karibu na mirembe kwani usafirishaji wa vijaa si kitu rahisi.