Wezi sana hawa jamaa dawa ni kupiga chini laini zao tunalalama kila siku hawajali kabisaHarafu voda com ....nimekuwa nikifatilia salio kwenye simu yangu nikiweka salio mfano 2000 harafu nikatuma sms 1 baada ya siku mbili nikiangalia tena salio na kuta limebaki 4.51 haya ni mambo ya ajabu kabisa......sasa hivi naanza kutembea na daily na record kila nitapo weka salio na baada ya matumizi mnakwapua kimya kimya
Tumia ya WhatsApp 0754100100Hiyo customer care 100 mbona longo longo nyingi.
Wakati mtu anahitaji kuongea na mhudumu
Habari vodacom nimefanya malipo kwa master card yetu nimakatwa pesa ila sijapatiwa huduma nilio lipia kwenye Skype yangu shida nini.?Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Naitwa Mtwale Daudi huduma hii nimekatwa pesa na sijapatiwa nilicho lipia. Vodacom naomba msaada wa kitaaramu kwenuHabari vodacom nimefanya malipo kwa master card yetu nimakatwa pesa ila sijapatiwa huduma nilio lipia kwenye Skype yangu shida nini.?