Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,538
- 3,826
Kama upo Dar nenda makao makuuMUHAMALA WANGU WA REFERENCE NUMBER 7DS23N58W9C SASA UNAENDA WIKI YA PILI SASA KILA NIKIPIGA SIMU NAAMBIWA NDANI YA MAASAA 48 UTARUDI LAKINI HAURUDI. HUU SIO UWIZI . JEE NISIPO PIGA SIMU HELA NDIO HAIRUDI NA INAENDA KWA NANI. ??
HII SIO SAWA KABISA
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Airtel niliamu kuvunja laini siyo kwa internet mbovu namna ileHamia Airtel jombaa
Tangu jana hili tatizo limeanza... Na ni mida ile ile..
alafu ukisema shida alijibu wanakera sana
Itabidi tuubadilishe huu uzi uwe wa vijembe na udaku ndio mods wataufutaMods kwanini msiufute tu huu uzi maana hauna maana kama muanzishaji ambaye ni Vodacom Tanzania hajishughulishi kujibu hoja za wadau.
cc JamiiForums
Nafikiri mweka mada keshapata jibu.. mi hiyo M nilijua kirefu chake ni Mapenzi halafu ukiweka na pesa inakuwa MAPENZI PESA!!.
Najua Basi..Je uliwapa uliowapenda wangapi pesa??🤣
Wakwanza alikuwa Zantel zpesaHuenda ni Mobile pesa.
Kama sikosei voda ndio walikuwa wa kwanza kuleta hiyo huduma.
TrueWakwanza alikuwa Zantel zpesa