GREAT NAME
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 933
- 1,251
Promosheni ya vodacom gawio tangu ianze nimepokea 750 tu,sijajua wanatugawia kama zawadi au wanatuenjoy
Habari,tutumie namba ya simu PM tafadhali.
Utapokea Tsh 14890 kabla ya 28.02.2017 kama faida ya kutumia M-Pesa. You will receive Tsh 14890 before 28.02.2017 as your benefit for using M-Pesa.
Alfu wanakuja wanasema wapiga dili wameishaTcra iko kwenye cyber crime tu. Wao wakishatoa leseni hawajali tena maana wanajua watapata kodi. Chukulia local channel,chukulia malalamiko ya makampuni hayo ya simu