Hee kumbe wamefunga yaan toka jana nahangaika nikajua ni net work kumbe duh, sasa ntafanyaje jamani no muv dowloading tena? Basi tuhame mtandao mwingine kama tigo au airtel, au mnasemaje wakandalasi?
Hamna kitu hapoOya wastue washikaji kwamba kuna njia nimeipa ya free internet chakufanya ingia katika Tech,Gadgets and Science Forums
Kisha shuka chini kabisa kwenye page utaona kuna comment za Khalfan56 Kuhusu Free internet follow the steps below
in his Comment page
kwa vodacom kufunga proxy wametupa somo kubwa kuwa tusianike mambo yetu hadharani sana maana kuna watu humu wanajifanya hawajui kumbe ni maspai jamani kweli TZ kuna mambo tuwe makini wataalamu
kuna mskaji anatoa IP adress za kutumia internet bure but kwa masharti ya kumlipa buku tano,kwa njia ya vocha za voda...ukitaka kumpata nenda kwenye thread iliyoandikwa INTERNET BURE
kuna mskaji anatoa IP adress za kutumia internet bure but kwa masharti ya kumlipa buku tano,kwa njia ya vocha za voda...ukitaka kumpata nenda kwenye thread iliyoandikwa INTERNET BURE
Kwa kwel voda wame2pa xomo kwa hl.
But kwa mie mpaka xaxa na2mia internet bure kwa ku2mi proxy nyngne ambayo voda hawajaijua mpaka xaxa na hyo nimejuzwa na ndugu yangu wa damu anayefanya kaz voda kama Network administrator.
Na akaxema nisi expoz mbele ya umati ambapo inaweza ikapelekea na yenyewe kufungiwa.
OVER.KWA HLI VODA BADO HAWAJAWEZA KABISA.
Kwa m2 anayehtaj anitafute
Chuon,ST.JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY.
OVER.
Ushajiexpose mwenyewe sasa **** ww!! Utakuja ufukuzishe watu kazi zao..sasa unafikiri wanashindwa kuja kukubeba hapo mkuku
Duh kumbe imeshasamba fasta hapo chuoni kwenu hehe!!!Kwa kwel voda wame2pa xomo kwa hl.
But kwa mie mpaka xaxa na2mia internet bure kwa ku2mi proxy nyngne ambayo voda hawajaijua mpaka xaxa na hyo nimejuzwa na ndugu yangu wa damu anayefanya kaz voda kama Network administrator.
Na akaxema nisi expoz mbele ya umati ambapo inaweza ikapelekea na yenyewe kufungiwa.
OVER.KWA HLI VODA BADO HAWAJAWEZA KABISA.
Kwa m2 anayehtaj anitafute
Chuon,ST.JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY.
OVER.
Duh kumbe imeshasamba fasta hapo chuoni kwenu hehe!!!
Mkuu haifunguki bure na kule India sio kwamba imetokea 0.facebook wameblock proxy bali Airtel yao haitoi tena service za 0.facebook bure. Chk fresh kama line yako ya voda ikiwa haina hela kama inafungua 0.facebook. But ukiweka credit inafunguka bt credit inalika nimetest mara kibao mpaka na apn na settings za voda wap but 0.facebook haifunguki buredah msidanganyane voda hawajafunga proxy kama mnavodhani wala hii trick haijaharibiwa na voda saa hizi wamekunja nne hata hawajui mnaloongea mnaleta uvumi tu.
Ishu ipo hivi waliofunga ni facebook ambao wameblock site yao ya 0.facebook.com isitumike na proxy maana mpaka leo ukiingia 0.facebook.com bila proxy unatumia bure
Nchi kama india ambao walikua wanatumia trick kama yetu ya proxy na site ya bure ya facebook imeacha kama sisi tena siku moja. Je ni coincidence kuacha sku moja?
Msiwape credit voda wapo wapo tu wale