Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,715
- 39,796
Mkuu haifunguki bure na kule India sio kwamba imetokea 0.facebook wameblock proxy bali Airtel yao haitoi tena service za 0.facebook bure. Chk fresh kama line yako ya voda ikiwa haina hela kama inafungua 0.facebook. But ukiweka credit inafunguka bt credit inalika nimetest mara kibao mpaka na apn na settings za voda wap but 0.facebook haifunguki bure
Sijui kwa line yako ila kwangu na sh 0 haifunguk kweli ila nlikua na sh 100 nkakaa zaid ya saa 1 kwa 0.facebook.com sjaliwa hata sh 1 na sio mimi tu ask mgeni pia