Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Hivi mtu akiomba. Intern / volunteering job taasisi ya serikali ya EWURA amemaliza degree ya. Uhasibu na fedha (BAF) GPA ya 3.5 je anaweza. Pata nafasi?
 
Hivi mtu akiomba. Intern / volunteering job taasisi ya serikali ya EWURA amemaliza degree ya. Uhasibu na fedha (BAF) GPA ya 3.5 je anaweza. Pata nafasi?
siku izi naona intern taasisi za serikali zinachukua kupitia TAESA ( tanzania employment service agency)
 
Hua mnajiskiaje kuongea vitu vya kufikirika. Mshahara wa mfamasia TAMISEMI ma Wizarani ni 1,215,000/=.

Kwenye mashirika unatofautiana kulingana na position na shirika lenyewe (MSD, NHIF, TMDA etc).
Kwenye hizo taasisi cheti chake hakitumiki fungulia pharmacy wakati huyu wa tamisemi anaweza fungua phamacy


Ila aya mambo Kwa ground vitu ni very trick
 
Kwenye hizo taasisi cheti chake hakitumiki fungulia pharmacy wakati huyu wa tamisemi anaweza fungua phamacy


Ila aya mambo Kwa ground vitu ni very trick
Unasema?

Kwamba ukiwa mwajiriwa wa TMDA unazuiliwa kufungua Pharmacy kwa kutumia cheti chako?

Ze Heby
 
Naomba in accordance with the past working experience from the most reputable private company hapa Tanzania and the current working experience from public service.

In long run ukiwa unafanya gap analysis ya vitu fanya vitu gap analysis kwa objects zinazowiana yaaani what is the salary gap between engineer 2 from company x with 5 years working experience at company x and engineer 2 from company y with 5 years of working experience at company y. Hapa utapata majibu sahihi.

Kwa experience yangu mishahara ambayo ameiongelea hapo juu ndio the lowest salary kwa kada husika serikalini yaaani mishahara wa TGS kwa ajili ya mashirika yote ambayo hayazalishi pesa kama wizara au shirika lolote LA serikali amvalo linatoa services halizalishi pesa. And ndio the entry level salary.

Private sector mishahara mikubwa ni kwa top management tuuu while process owners(doers) wanalipa salary ndogo saaana na hawana benefits ambazo serikalini wanapata. Private sector mara nyingi entry zao ni below 1.5m gross na haiwezekani kupata pesa nyingine zaidi ya for rest of your life kazini ila serikalini Kila kitu kipo kwenye Sheria na miongozo kwamba mtu akilala nje ya kituo Cha kazi analipwa kiasi kadhaa and each and everything is well established and defined.

Serikalini mashirika yanayozalisha yanalipa mishahara mikubwa saaana ndio maaana serikalini ni kawaida kuona kijana wa miaka 30 amejenge ghorofa goba kwa miezi Saba while private sector haiwezekani hata kwa miaka kumi unless uwe kwenye top management.

Ukifanya gap analysis vizuri serikalini wanalipa mishahara mikubwa kuliko private sector.

Evidence.
Nenda sehemu yoyote ushuani huwezi kukuta mwenye nyumba ni kijana wa miaka 32 and anafanya kazi private sector haiwezekani. Private sector huwezi kununua gari bila mkopo never haiwezekani unless uwe kwenye top management. Ila serikalini mashirika yote yanayozalisha mtoto anaajiriwa baada ya miezi Saba ananunua gari kwa cash and sio mkopo ila kwa private sector haiwezekani bisha ongea mpaka kesho mpaka YESU ARUDI haiwezekani.

watu wanafanya private sector kama staging then unaenda sehemu nzuriiii serikalini ndio principal ya maisha ya wengi. if haupo kwenye top management private sector then haiwezekani uwe na financial freedom ya kujenga nyumba bila kukopa haiwezekani. Ila kwa serikalini tunsona vijana wa miaka 30 wanashusha ghorofa goba wa mwaka mmoja ambalo hata director wa Vodacom au CRDB hawezi kujenga kwa mshahara hata iweje.

Ukibisha kaa na ujinga wako. I'm done.
 
Unasema?

Kwamba ukiwa mwajiriwa wa TMDA unazuiliwa kufungua Pharmacy kwa kutumia cheti chako?

Ze Heby
Sasa wewe ndo mkaguzi wa izo pharmacy ukiweka cheti chako

So unataka ujikakugue mwenyewe au ?

Au kwa namna ulivyo uliza unataka kusema vipi kwa kua ni hoja unaweza labda kua na mchango wenye tija hebu tupe mkuu
 
Dah life hili vibarua bwaw la Nyerere wanakula laki 8 mpak 9 saw na engineer ama Kweli Elimu ni ujinga
Hakuna ENGINEER analipwa 800k.
Kuna payroll flan nlikua nafanyia kazi juzijuzi. Engineer anavuta 5.1M gross .

Sasa wewe acha Shule, nenda ukawe kibaruA kwenye hilo bwawa

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom