Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,873
- 4,580
Acha uongo, hizo degree unazocombine kwa W.kata wazitoe wapi..? W.Kata wengi Wana diploma za maendeleo ya jamii..Hawa watendaji wa kata wengi elimu zao ni za degree na hawa wa mtaa ni cheti au form six au diploma,inakuwaje sasa wafanane mishahara?