viwango vya internet vipya mitandao yote tanzania

Nyie sumbukeni na mitando ya kitapeli ya kibongo hapa mwenzenu nipo karibu na kampuni fulani nakula wifi bure masaa ishirini na nne ma it wapale wame lala...teh teh teh full kushusha madude.
 
Guys katika pita pita zangu nkaona niwatafutie viwango vya internet ambavyo ni latest vya mitandao yote ili tuweze kuangalia wapi pa kuegemea.

vodacom packages
Hawa jamaa viwango vyao vipya hawana mpinzani i think wapo best navyo ni kama ifuatavyo.

bei (tsh)bundlemda
25025mbsiku
45050mbsiku
700100mbsiku
2,500150mbwiki
7,500500mbwiki
10,000unlimitedwiki
8,000500mbmwezi
15,0001gbmwezi
20,0005gbmwezi
30,000unlimitedmwezi
***************

source: bonyeza *149*01# kuona ukiwa na line ya voda

tigo packages
Hawa wanafatia sema wanalimit speed hio weakness yao. Jinsi bundle inavokua kubwa na speed inaongezeka. So bundle ya bei ghali utapata speed kubwa. Bundle zao zipo kama hivi

bei (tsh)bundlemda
45020mbsiku
2500150mbsiku
4500250mbsiku
2800150mbwiki
10,000750mbwiki
25,0002gbwiki
8500600mbmwezi
35,0003gbmwezi
55,0005gbmwezi
99,00010gbmwezi

Source: *148*01# kwa line yako ya tigo

zantel packages
Hawa nimeona bundle nzuri replacement ya ile ya airtel 2500 ambayo ni bronze sh 4000 unapata mb 600 kwa mwezi special kwa watu wanaopenda tumia simu nazo bundle zao zipo hv

bei (tsh)bundlemda
100050mbsiku
3000300mbsiku
10,000unlimitedsiku 3
70001gbwiki
4000600mbmwezi
20,0005gbmwezi
40,0008gbmwezi
90,00014gbzaid ya mwezi
140,000gb25zaid ya mwezi


Source Find your Rhythm

airtel packages
walijizolea umaarufu kwa mb400 kwa 2500 ila bundle zao mpya ni ghali wajirekebishe zipo kwa muda na kwa data

-kwa muda

mudabei(tsh)
saa200
siku500
wiki10,000
mwezi3000

-kwa data

bei (tsh)bundlemda
150025mbnil
2500150mbnil
10,000250mbnil
12,000500mbnil
15,0001gbnil
25,0002gbnil
30,0003gbnil
45,0005gbnil
70,0008gbnil
140,00015gbnil
200,00020gbnil

Bonyeza *154*44# kwa airtel

kwa blackberry service click link za chini

[post=4485704]zantel black berry service [/post]

Mkuu viwango hivi vimeanza kutumika lini? maana me nimejiunga tar 16/8 nimepata mb 400 kwa 2500/= ya airtel.
 
Nyie sumbukeni na mitando ya kitapeli ya kibongo hapa mwenzenu nipo karibu na kampuni fulani nakula wifi bure masaa ishirini na nne ma it wapale wame lala...teh teh teh full kushusha madude.

Kwa hiyo unaturingishia siyo?
 
Unlimited ya voda ni hadi tone la mwisho kama ya zantel au ukitumia kiwango flani mfano mb 700 speed inapungua?

Voda ni wezi wanasema unlimited bt uongo wanakupa 2gb zikiisha spidi inashuka kufungua yahoo dk 15 kusign in dk 20 kufungua email dk 20 kuupload picha inachukua masaa hadi asubuhi ss hii nini si ni ushetani zantel mpango mzima kitu cha ukweli unlimited siku tatu unadownload hata 50gb!
 
Voda ni wezi wanasema unlimited bt uongo wanakupa 2gb zikiisha spidi inashuka kufungua yahoo dk 15 kusign in dk 20 kufungua email dk 20 kuupload picha inachukua masaa hadi asubuhi ss hii nini si ni ushetani zantel mpango mzima kitu cha ukweli unlimited siku tatu unadownload hata 50gb!

Thats not true au una tatizo useme usaidiwe speed inadrop 25 hadi 45 kBps haishuki haipandi hapo mi natumia hio bundle.
 
Unlimited call, sms na internet kuanzia saa 5 usiku hadi sa 1 asbuhi ila sorry hio ni offer ni ya ramadhan na eid voda wamesema yaisha jana trh 22.

Hio 8000 ni bundle ya jamaa personal kwa matumizi ya mchana

Mpaka sasa na weka hii post, *102*250# ndo inatumika hapa so bado ipo just try muone
 
kuna jambo ambalo haya makampuni hayajui nalo ni gharama kuwa kubwa kunafukuza wateja aidha hakukaribishi mteja mpya

nakumbuka jinsi wanachuo wenzangu walivyo hama zantel kisa, gharama kubwa kurun hiyo modem.
 
Guys katika pita pita zangu nkaona niwatafutie viwango vya internet ambavyo ni latest vya mitandao yote ili tuweze kuangalia wapi pa kuegemea.

vodacom packages
Hawa jamaa viwango vyao vipya hawana mpinzani i think wapo best navyo ni kama ifuatavyo.

bei (tsh)bundlemda
25025mbsiku
45050mbsiku
700100mbsiku
2,500150mbwiki
7,500500mbwiki
10,000unlimitedwiki
8,000500mbmwezi
15,0001gbmwezi
20,0005gbmwezi
30,000unlimitedmwezi
***************

source: bonyeza *149*01# kuona ukiwa na line ya voda

tigo packages
Hawa wanafatia sema wanalimit speed hio weakness yao. Jinsi bundle inavokua kubwa na speed inaongezeka. So bundle ya bei ghali utapata speed kubwa. Bundle zao zipo kama hivi

bei (tsh)bundlemda
45020mbsiku
2500150mbsiku
4500250mbsiku
2800150mbwiki
10,000750mbwiki
25,0002gbwiki
8500600mbmwezi
35,0003gbmwezi
55,0005gbmwezi
99,00010gbmwezi

Source: *148*01# kwa line yako ya tigo

zantel packages
Hawa nimeona bundle nzuri replacement ya ile ya airtel 2500 ambayo ni bronze sh 4000 unapata mb 600 kwa mwezi special kwa watu wanaopenda tumia simu nazo bundle zao zipo hv

bei (tsh)bundlemda
100050mbsiku
3000300mbsiku
10,000unlimitedsiku 3
70001gbwiki
4000600mbmwezi
20,0005gbmwezi
40,0008gbmwezi
90,00014gbzaid ya mwezi
140,000gb25zaid ya mwezi


Source Find your Rhythm

airtel packages
walijizolea umaarufu kwa mb400 kwa 2500 ila bundle zao mpya ni ghali wajirekebishe zipo kwa muda na kwa data

-kwa muda

mudabei(tsh)
saa200
siku500
wiki10,000
mwezi3000

-kwa data

bei (tsh)bundlemda
150025mbnil
2500150mbnil
10,000250mbnil
12,000500mbnil
15,0001gbnil
25,0002gbnil
30,0003gbnil
45,0005gbnil
70,0008gbnil
140,00015gbnil
200,00020gbnil

Bonyeza *154*44# kwa airtel

kwa blackberry service click link za chini

[post=4485704]zantel black berry service [/post]

mkuu umesahau tigo mega box
ni ya ukweli na inafaa kwa mtanzania. Nimejaribu ya week@2800 napata 2g za kuperuz na 150mb za kudownload kila siku na huu sio uongo speed 4080kbps full time.
Week
2800 -2g kuperuz 150mb za download kila siku
wiki plus 10000 40gb
nisionge sana
*148*01# chagua no 3 tigo mega box
 
mkuu umesahau tigo mega box
ni ya ukweli na inafaa kwa mtanzania. Nimejaribu ya week@2800 napata 2g za kuperuz na 150mb za kudownload kila siku na huu sio uongo speed 4080kbps full time.
Week
2800 -2g kuperuz 150mb za download kila siku
wiki plus 10000 40gb
nisionge sana
*148*01# chagua no 3 tigo mega box

Upload screen shot, maana hapo ni kama unapingana na watanzania speed ipo hapo kwenye 150mb tu hizo gb's wanazokupa upuz tu. Then megabox sio bundle ni offer thats why sjaeka hapa.

unless mtu atafte data za offer za mitandao yote atengeneze thread, vitu kama megabox, epiq nation, boomclub, facebook ya airtel na voda ya usiku
 
Upload screen shot, maana hapo ni kama unapingana na watanzania speed ipo hapo kwenye 150mb tu hizo gb's wanazokupa upuz tu. Then megabox sio bundle ni offer thats why sjaeka hapa.

unless mtu atafte data za offer za mitandao yote atengeneze thread, vitu kama megabox, epiq nation, boomclub, facebook ya airtel na voda ya usiku

mkuu mbona sijakupata vizuri, hebu nipe tofauti kati ya bundle na mega box, je matumizi yake yapo tofauti?
matumizi yangu most ni kwenye simu na pia huwa na waazima watu wanatumia kwenye pc, matumizi yao ya kila siku speed ile ile 4080 kbps. Una download chochote unachotaka.
 
mkuu mbona sijakupata vizuri, hebu nipe tofauti kati ya bundle na mega box, je matumizi yake yapo tofauti?
matumizi yangu most ni kwenye simu na pia huwa na waazima watu wanatumia kwenye pc, matumizi yao ya kila siku speed ile ile 4080 kbps. Una download chochote unachotaka.
Unauhakika na unachosema? naweza download mpaka 5GB kwa siku na hiyo megabox? tafadhari nijurishe mapema
 
Unauhakika na unachosema? naweza download mpaka 5GB kwa siku na hiyo megabox? tafadhari nijurishe mapema

mm nimejaribu ya week ambayo ni 150mb kwa siku. Sasa hapo ya 10000 @week 40gb jaribu mwenye, mi next ninayotakakujaribu ni 50gb @8500 kwa mwezi
 
mm nimejaribu ya week ambayo ni 150mb kwa siku. Sasa hapo ya 10000 @week 40gb jaribu mwenye, mi next ninayotakakujaribu ni 50gb @8500 kwa mwezi[/QUOTE]

Kwa taarifa yako hizo gb kichele walizoweka ni za kusurf tu na siyo download ndiyo maana wakakuambiya za kudownload ni 150mb tu zikiisha hizo hhutoweza kudownload tena ila utaweza kusurf mpaka basi!!!!
 
mm nimejaribu ya week ambayo ni 150mb kwa siku. Sasa hapo ya 10000 @week 40gb jaribu mwenye, mi next ninayotakakujaribu ni 50gb @8500 kwa mwezi
Kama wanakupa 150mb kwa siku za kudownload bado ni ndogo, labda nikusimulie kidogo, kama mwezi mmoja uliopita nilikuwa napata internet ya airtel kwa sh 200 kwa siku na walikuwa wanatoa unlimited speed and downloads 24 hrs kwa sh 200 tu, yaani nikijiunga na hiyo 200 nilikuwa na-surf na kudownload nitakavyo bila speed kushuka kwa masaa 24!, umeshaona sehemu nyingine kitu kama hiki?
 
mm nimejaribu ya week ambayo ni 150mb kwa siku. Sasa hapo ya 10000 @week 40gb jaribu mwenye, mi next ninayotakakujaribu ni50gb @8500 kwa mwezi[/QUOTE]

Kwa taarifa yako hizo gb kichele walizoweka ni za kusurf tu na siyo download ndiyo maana wakakuambiya za kudownload ni 150mb tu zikiisha hizo hhutoweza kudownload tena ila utaweza kusurf mpaka basi!!!!
Nashukuru mkuu kwa kutuelewesha vizuri hapa, sasa anataka ku-surf tu? tunataka kushusha mavitu bwana
 
mm nimejaribu ya week ambayo ni 150mb kwa siku. Sasa hapo ya 10000 @week 40gb jaribu mwenye, mi next ninayotakakujaribu ni50gb @8500 kwa mwezi[/QUOTE]

Kwa taarifa yako hizo gb kichele walizoweka ni za kusurf tu na siyo download ndiyo maana wakakuambiya za kudownload ni 150mb tu zikiisha hizo hhutoweza kudownload tena ila utaweza kusurf mpaka basi!!!!
Nashukuru mkuu kwa kutuelewesha vizuri hapa, sasa nani anataka ku-surf tu? tunataka kushusha mavitu bwana
 
Kama wanakupa 150mb kwa siku za kudownload bado ni ndogo, labda nikusimulie kidogo, kama mwezi mmoja uliopita nilikuwa napata internet ya airtel kwa sh 200 kwa siku na walikuwa wanatoa unlimited speed and downloads 24 hrs kwa sh 200 tu, yaani nikijiunga na hiyo 200 nilikuwa na-surf na kudownload nitakavyo bila speed kushuka kwa masaa 24!, umeshaona sehemu nyingine kitu kama hiki?

airtel 200 kwa saa, 500 kwa siku. Sijawah weka line ya airtel ikazidi 600kbps, ila tigo ndio high ilikuwa 1400kbps kabla ya kujiunga na mega box mi nipo yombo 4080kbps, je we upo wap sasa? 500*7= 3500@week sio mbaya ila ipo juu kwa mTz Kuliko 2800 kwa yule wa simu
 
Back
Top Bottom