viwango vya internet vipya mitandao yote tanzania

viwango vya internet vipya mitandao yote tanzania

mkuu mbona sijakupata vizuri, hebu nipe tofauti kati ya bundle na mega box, je matumizi yake yapo tofauti?
matumizi yangu most ni kwenye simu na pia huwa na waazima watu wanatumia kwenye pc, matumizi yao ya kila siku speed ile ile 4080 kbps. Una download chochote unachotaka.

Unajua unapoongea hivo kuna watu wanaona speed 4080kbps (speed ya idm tunategemea 500KBps) na watu watanunua hiyo bundle ili kuwathibitishia hao watu capture screen shot ya dashboard yako ya tigo ili tuone kama ni kweli unapata speed hiyo.

Then offer ni vitu mtandao wanakupa wewe ila si katika mkataba na hata wakikukata huna pa kwenda kulalamika, mfano wa offer ndo hizi internet za usiku, sjui tigo extreme unapata message dakika na internet

Bundle halisi hizi wakikupunja una haki ya kuwashtaki na mara nyingi zinakua wazi. Mfano ukienda website ya tigo kwenye internet packages utakuta kitu hiki

internet-swa.jpg


Angalia picha ya kwanza mb 20 kwa sh 450 ndo bundle halisi ila mb 20 na kubrowse internet (tigo megabox) sjui facebook bure na madoido mengi hio ni offer na ndo mana hawajaiandika hapo juu na wakiikata huna haki ya kuwalaumu
 
unajua unapoongea hivo kuna watu wanaona speed 4080kbps (speed ya idm tunategemea 500kbps) na watu watanunua hiyo bundle ili kuwathibitishia hao watu capture screen shot ya dashboard yako ya tigo ili tuone kama ni kweli unapata speed hiyo.

Then offer ni vitu mtandao wanakupa wewe ila si katika mkataba na hata wakikukata huna pa kwenda kulalamika, mfano wa offer ndo hizi internet za usiku, sjui tigo extreme unapata message dakika na internet

bundle halisi hizi wakikupunja una haki ya kuwashtaki na mara nyingi zinakua wazi. Mfano ukienda website ya tigo kwenye internet packages utakuta kitu hiki

internet-swa.jpg


angalia picha ya kwanza mb 20 kwa sh 450 ndo bundle halisi ila mb 20 na kubrowse internet (tigo megabox) sjui facebook bure na madoido mengi hio ni offer na ndo mana hawajaiandika hapo juu na wakiikata huna haki ya kuwalaumu

umesomeka mia mia mkuu
 
Unajua unapoongea hivo kuna watu wanaona speed 4080kbps (speed ya idm tunategemea 500KBps) na watu watanunua hiyo bundle ili kuwathibitishia hao watu capture screen shot ya dashboard yako ya tigo ili tuone kama ni kweli unapata speed hiyo.

Then offer ni vitu mtandao wanakupa wewe ila si katika mkataba na hata wakikukata huna pa kwenda kulalamika, mfano wa offer ndo hizi internet za usiku, sjui tigo extreme unapata message dakika na internet

Bundle halisi hizi wakikupunja una haki ya kuwashtaki na mara nyingi zinakua wazi. Mfano ukienda website ya tigo kwenye internet packages utakuta kitu hiki

internet-swa.jpg


Angalia picha ya kwanza mb 20 kwa sh 450 ndo bundle halisi ila mb 20 na kubrowse internet (tigo megabox) sjui facebook bure na madoido mengi hio ni offer na ndo mana hawajaiandika hapo juu na wakiikata huna haki ya kuwalaumu

natumia cm hapo screen shot ziwezi kuiweka. Kama ni offer nitaanza kufuatilia pale watakapo ninyima uhuru sababu nafaidi kwa matumizi ya simu.
ila 150mb*7= 1gb @2800 lowest kuliko zote @week.
Wale wote wanaopenda kujaribu sio mbaya ukapata 800mb @2800 week. Cha muhmu je umepata speed na mb zakutosha kwa garama nafuu na sio mpaka uzimalize kama ni offer. Hebu jaribu usiogope.
 
natumia cm hapo screen shot ziwezi kuiweka. Kama ni offer nitaanza kufuatilia pale watakapo ninyima uhuru sababu nafaidi kwa matumizi ya simu.
ila 150mb*7= 1gb @2800 lowest kuliko zote @week.
Wale wote wanaopenda kujaribu sio mbaya ukapata 800mb @2800 week. Cha muhmu je umepata speed na mb zakutosha kwa garama nafuu na sio mpaka uzimalize kama ni offer. Hebu jaribu usiogope.
Makelele yote hayo kumbe unatumiya cm si pc!!!! hivi huyui kwamba vifurushi unavyotesa na vyo kwa kilonga longa ukiweka kwa pc vinayeyuka dakika?
 
ki ukweli bei za internet bongo ni ghali sana, haya makampuni wanatuzugu tu na ofa zao za bei
 
airtel 200 kwa saa, 500 kwa siku. Sijawah weka line ya airtel ikazidi 600kbps, ila tigo ndio high ilikuwa 1400kbps kabla ya kujiunga na mega box mi nipo yombo 4080kbps, je we upo wap sasa? 500*7= 3500@week sio mbaya ila ipo juu kwa mTz Kuliko 2800 kwa yule wa simu
Mi kuna nyakati inafika mpaka 800kbps, wewe modem model gani?, bado hiyo megabox siyo unlimited kama ninavyotaka mimi. Mimi nipo kariakoo ila naishi tandale kwa tumbo
 
vodacom ndio mpango mzima 30 tu limitless mnataka nini tena guys naanagali video youtube bila hata ya shida hata j=haiikwaruzi kweli vodacom kazi ni kwako s=io agent wao bali ndio ukweli
 
Asante kwa taarifa, lakini ndugu kama wewe ni mfanyakazi kati ya hayo makampuni, tafadhali waambie, moderm hazifanyi kazi vizuri huku maeneo ya mazimbu, kihonda - morogoro, Internet inakuwa slow na wakati mwingine haishiki kabisa hata ukiweka bundle ya kueleweka. Natamani sana wangekuwa sehemu ya kutolea dukuduku hasa ukikwazwa na hudumu huku ukiwa umegusa mfukoni.
 
Asante kwa taarifa, lakini ndugu kama wewe ni mfanyakazi kati ya hayo makampuni, tafadhali waambie, moderm hazifanyi kazi vizuri huku maeneo ya mazimbu, kihonda - morogoro, Internet inakuwa slow na wakati mwingine haishiki kabisa hata ukiweka bundle ya kueleweka. Natamani sana wangekuwa sehemu ya kutolea dukuduku hasa ukikwazwa na hudumu huku ukiwa umegusa mfukoni.

Hapana mimi sio mfanyakazi. Angalia dashboard ya mtandao inaandika nini evdo, cdma, edge, wcdma, hsdpa, hspa, gprs then tuma hapa utasaidiwa
 
Nyie sumbukeni na mitando ya kitapeli ya kibongo hapa mwenzenu nipo karibu na kampuni fulani nakula wifi bure masaa ishirini na nne ma it wapale wame lala...teh teh teh full kushusha madude.

Kuna siku utalipa gharama zote kwa sababu security ya connection yako almost zero. It is too early to rejoyce!
 
mkongo wa taifa hausaidii kitu si walisema ukiishatengenezwa gharama za internet zitapungua mbona sasa maumivu kwa kwenda mbele
 
vodacom ndio mpango mzima 30 tu limitless mnataka nini tena guys naanagali video youtube bila hata ya shida hata j=haiikwaruzi kweli vodacom kazi ni kwako s=io agent wao bali ndio ukweli

Kawaambiye mabosi wako Maeneo ya Yombo Kilakala hapa hapa Dar hatuipati 3G ya huo mtandao wenu wala wa jamaa zenu Zantel .
Airtel ndiyo inatesa pande hizo so mjipange upya.
 
Kaka chief-mkwawa or any1 else hii airtel ya 200 kwa saa na 500 kwa cku is it unlimited au kuna limit ndani yake.
 
Last edited by a moderator:
nani atatukomboa na huu utumwa? jamani hamjui bado tunachezewa? mkongo ukowapi kila mtu aweke TTCL kwake? ni upumbavu mkubwa sana wa makampuni ya simu za mikononi. makamba alione hili
 
it's Unlimited kijana full kujimwaga

Cku nzima?Unlimited kwa 500 Ninga? Au ndo zile unaambiwa mia tano cku nzima kumbe mb100, ttcl 1000 unlimitted 4 two hrs i think kama sio three so dat explains kwann nashangaa nmezoea mibei mikubwa mpaka nikiambiwa ki2 kama hicho camini
 
Cku nzima?Unlimited kwa 500 Ninga? Au ndo zile unaambiwa mia tano cku nzima kumbe mb100, ttcl 1000 unlimitted 4 two hrs i think kama sio three so dat explains kwann nashangaa nmezoea mibei mikubwa mpaka nikiambiwa ki2 kama hicho camini

Unamaliza mb zako 50 kwa siku unlimited speed fresh tu then speed inadrop hadi 4-10 kBps hapo ndo utapochoka.
 
Kwa mnaoshindwa kupata zile mb400 za airtel kwa 2500 andika neno INTERNET na utume kwenda 15444. Watakutumia sms kukujulisha umepata 400MB za data. Me natumia hiyo hapo everytime nikihitaji data bandle.
 
Cku nzima?Unlimited kwa 500 Ninga? Au ndo zile unaambiwa mia tano cku nzima kumbe mb100, ttcl 1000 unlimitted 4 two hrs i think kama sio three so dat explains kwann nashangaa nmezoea mibei mikubwa mpaka nikiambiwa ki2 kama hicho camini

Kuna jamaa yangu alidai kua ni unlimited na hua anatumia kudownload movies ila ndo anadai speed ya kinyongo, so it means kua after certain MB wana punguza speed, Binafsi sijawahi tumia
 
Back
Top Bottom