Viva viettel (halotel)

Viva viettel (halotel)

hilo ndio agizo la kutenganisha data na vifurushi vya maongezi. mfano wake chukulia muda wa maongezi ni kuku na data ni chips halafu serikali ipige marufuku chips kuku, ili upate chips kuku inabidi ununue chips kivyake (data) na kuku kivyake (maongezi). ila kwa huruma zao wauza chips(mitandao) waamue ukinunua kuku wanakuekea na vibale kidogo vya chips (mb 8).



mi nataka tu nijue hekima ya TCRA walioitumia hadi kuamua wavitenganishe hivi vifurushi.


Hilo wazo lilitolewa na hiyohiyo mitandao ya simu. Dhumuni kubwa ni kumaxmize profit. Wauze chips tofauti na kuku.
 
Hilo wazo lilitolewa na hiyohiyo mitandao ya simu. Dhumuni kubwa ni kumaxmize profit. Wauze chips tofauti na kuku.

Ni kweli hawawezi kukubali kufanya kitu kitakachowaumiza.
 
Speed ya Kobe hiyo

Ila kama ni kijijini Wameteka soko tayari

Mm nina 3G roaming ya Voda kijijini hata kupata 100KB/sec ni ndoto ya abunuasi

Hivo sema eneo lako uko wapi na Voda 3G wanayo na speed unapata ngapi?
Mkuu hawa Halotel nimetest huku manzese wapo vizuri.
Speed test inasoma 10mbps na ping no 40.
Inatereza fresh kwenye live streaming

attachment.php
 

Attachments

  • halotel.JPG
    halotel.JPG
    25.5 KB · Views: 850
hilo ndio agizo la kutenganisha data na vifurushi vya maongezi. mfano wake chukulia muda wa maongezi ni kuku na data ni chips halafu serikali ipige marufuku chips kuku, ili upate chips kuku inabidi ununue chips kivyake (data) na kuku kivyake (maongezi). ila kwa huruma zao wauza chips(mitandao) waamue ukinunua kuku wanakuekea na vibale kidogo vya chips (mb 8).

mi nataka tu nijue hekima ya TCRA walioitumia hadi kuamua wavitenganishe hivi vifurushi.

nadhani kuna mkanganyiko wa nani anahusika katika mabadiliko haya kati ya TCRA na MITANDAO sababu mitandao kama smart tanzania na zantel vifurushi vyao vinakua na bundle kubwa kidigo je? Wao hawako under TCRA?
 
Hao Halotel sijui nitapataje line yao?Nimechoka magumashi ya hii mitandao mingine.
 
Voda kama vile wamekusikia umeona bei mpya za vifurushi!? Hapo bado wengine hawajajibu. Mbona Kazi Ni Kwako!

Watashusha tu labda Halotel wasishushe zao. Lakini pia chungulia kwenye data Voda wamerekebisha na kuwa na unafuu kidogo
 
yaaah, iko under construction kwa sasa lakini itazinduliwa officially tar 15 mwezi huu
 
Yaani kwenye hii Free Market Economy , Vodacom, Airtel, Tigo, TTCL na TCRA wakae mguu sawa.

Tuko tiyar kununua Vocha Uganda huku tukidownload Bongo.
 
Mh.... kwa Offside trick sikuwezi!!
Line ni ya dogo alikuwa kaikalia tu maana alikuwa hawezi kuconnect.
Baada ya kuweka Apn nakuanza kufyonza net, kanipora kimoja so bado ina bundle.
Asante Maana Wengine wanakinukisha 15/10/2015 zikiisha 100MB unakuwa disconnected from free access
 
Hawa jamaa wanaweka minara mashuleni tu.
Sasa kama eneo hakuna au kuna shule moja tu inakuwaje?
Hiyo minara si itazidiwa?
Nadhani hapa wateja tuwe makini, tusikimbilie kwenye hili bomu.
 
Vietel ni jeshi la Vietnam, pamoja na matatizo yoote waliyonayo wameweza kuja kuwekeza nje ya mipaka yao. .hongera zao lakini VP KUHUSU TTCL YETU?

Ndugu TTCL imedumaa. Acha tz tuwekezwe hadi siku usafi wa mini yetu waje wawekezaji wa kutoka nje

Pathetic... Halafu INAUMA mno kihisia na kiuhalisia

Nashindwa elewa kwanini TTCL imekufa na hata kusimama haisimami...
Inakuwaje nchi tunaikaribisha kampuni ya Kijeshi ya nchi nyingine kuja kuwekeza kwenye mawasiliano nchini kwetu?
Hii nchi akili hatuna... na bado kuna wengine wataichagua CCM...
TTCL yafaa
Hao Halotel wajiandae kisaikolojia maana upinzani wa Tigo, Voda, Airtel ni noma sana

Halotel imeletwa na mukulu mwenyewe unategemea nn!

Ndo maana sisi tutaitwa wajinga kama tutawaacha hawa CCM wabakie

Hongera rizwani

Ni kwamba siku TTCl wakiachiwa kwenye kifungo walichowekwa watakuwa mbali na hapo walipo.

TTCL wana miundombinu mikubwa sana kwa ajili ya mawasiliano.

Wajanja wananufaika na TTCL.

Imefilisiwa na mbele ya macho yetu hivihivi tunashangaashaa Kama nyumba.. Mwandosya knows the whole sht of it

Haiwezekani kwasababu Airtel wanamiliki hisa nyingi TTCL.

Sasa utaruhusu vipi competitor wako awe huru?

Ni sawa na KQ kununua hisa nyingi Precision Air.

Ndo muichague CCM mshike adabu.

Wataanza kuwapokonya nyumba zenu wawauzie wawekezaji.

Ndo viongozi wa serikali ya CCM.

Mkuu ukimaliza kuandika hapa hili swali, li forward kwa Makamba moja kwa moja.

Sio imedumaa bali TTCL imedumazwa na Serikali yako uipendayo sana!

CCM mliichagua wenyewe,
Kwa upumbavu na ulofa wenu,
CCM mmeipenda wenyewe,
CCM imetufilisi wenyewe,
CCM imetubagua wenyewe,
CCM ina wenyewe,

Sala ya kuitakaa CCM.

Naikataa CCM na mambo yake,
Naikataa CCM na rushwa Zake,
Naikataa CCM na ufisadi wake,
Naikataa CCM na ubaguzi wake,
Naikataa CCM na maradhi yake,
Naikataa CCM na ujinga wake,
Amen.

October 25, wape kura yako UKAWA.
 
Back
Top Bottom