PING yao inasoma ngapi? iko chini au Juu?
PING yao inasoma ngapi? iko chini au Juu?
Nashindwa elewa kwanini TTCL imekufa na hata kusimama haisimami...
Inakuwaje nchi tunaikaribisha kampuni ya Kijeshi ya nchi nyingine kuja kuwekeza kwenye mawasiliano nchini kwetu?
Hii nchi akili hatuna... na bado kuna wengine wataichagua CCM...
TTCL yafaa
Hao Halotel wajiandae kisaikolojia maana upinzani wa Tigo, Voda, Airtel ni noma sana
Halotel imeletwa na mukulu mwenyewe unategemea nn!
Ngoja nimsaidie. Hiyo apo mkuu.
mbona speed average hivyo? ping nzuri ila pia watu wakijaa sidhani kama itastahamili.
kwa style hio itabidi wawe na pricing nzuri.