Viva viettel (halotel)

Viva viettel (halotel)

Ngoja nimsaidie. Hiyo apo mkuu.

Speed ya Kobe hiyo

Ila kama ni kijijini Wameteka soko tayari

Mm nina 3G roaming ya Voda kijijini hata kupata 100KB/sec ni ndoto ya abunuasi

Hivo sema eneo lako uko wapi na Voda 3G wanayo na speed unapata ngapi?
 
Speed ya Kobe hiyo

Ila kama ni kijijini Wameteka soko tayari

Mm nina 3G roaming ya Voda kijijini hata kupata 100KB/sec ni ndoto ya abunuasi

Hivo sema eneo lako uko wapi na Voda 3G wanayo na speed unapata ngapi?

kaka Njunwa Wamavoko nawezaje kupata 3G roaming ya voda??
 
Last edited by a moderator:
kaka Njunwa Wamavokowa Wamavoko nawezaje kupata 3G roaming ya voda??

Kama ni kwa PC fanya manual search na uwe ume set WCDMA Only

Mm napata 3G roaming ya Vodacom,Smart na Zantel wote wanatumia network ya TZ01
JKmDfX.png


Kama ni kwa Android phones nafikiri sio zote zitaweza sana sana za Mchina hazitoweza

Natumia Samsung Grand Prime nime weka tick ya Roaming kwenye network settings na nime set WCDMA Only

184fdceb117ab4744b2719752f80b23d.jpg
 
Kama ni kwa PC fanya manual search na uwe ume set WCDMA Only

Mm napata 3G roaming ya Vodacom,Smart na Zantel wote wanatumia network ya TZ01
JKmDfX.png


Kama ni kwa Android phones nafikiri sio zote zitaweza sana sana za Mchina hazitoweza

Natumia Samsung Grand Prime nime weka tick ya Roaming kwenye network settings na nime set WCDMA Only

184fdceb117ab4744b2719752f80b23d.jpg

thanks bro.. i got it Njunwa
 
Last edited by a moderator:
Speed ya Kobe hiyo

Ila kama ni kijijini Wameteka soko tayari

Mm nina 3G roaming ya Voda kijijini hata kupata 100KB/sec ni ndoto ya abunuasi

Hivo sema eneo lako uko wapi na Voda 3G wanayo na speed unapata ngapi?

Dodoma mjini. Voda huwa napats mpka 120 ms
 
Nashindwa elewa kwanini TTCL imekufa na hata kusimama haisimami...
Inakuwaje nchi tunaikaribisha kampuni ya Kijeshi ya nchi nyingine kuja kuwekeza kwenye mawasiliano nchini kwetu?
Hii nchi akili hatuna... na bado kuna wengine wataichagua CCM...
TTCL yafaa
Hao Halotel wajiandae kisaikolojia maana upinzani wa Tigo, Voda, Airtel ni noma sana

Mkuu ukimaliza kuandika hapa hili swali, li forward kwa Makamba moja kwa moja.
 
hawa smart wanapatikana nchi nzima lakini hawana ofisi kabisa huko mikoani, na kama hawana ofisi ina maana hawana wafanyakazi mikoani. pia minara wanayoitumia si yao, mmiliki simjui ila nahisi itakuwa ni ya ttcl/serikali minara hii pia ilikuwa inatumiwa na voda kama roaming, ina coverage kubwa sana hadi vijijini ambapo 3g haijafika hii minara imefika.

kama huna ofisi na wafanyakazi inamaana gharama za uendeshaji zinakuwa ndogo sana, inawezekana wakawa wanapata faida kubwa tu. ila ni theory yangu tu wanaweza pia kuwa wanakula hasara

Si kweli usemalo
Smart wanatumia minara ya HTT na wamekodi network kutoka project ya world bank iliyokuwa inaitwa rural network iliyoendeshwa na ushirikiano na erics tz....
Siku hz hamna wanaojenga minara zaidi ya HTT hata hao vietell walianza kiujenga wakasanda...
 
Kama ni kwa PC fanya manual search na uwe ume set WCDMA Only

Mm napata 3G roaming ya Vodacom,Smart na Zantel wote wanatumia network ya TZ01
JKmDfX.png


Kama ni kwa Android phones nafikiri sio zote zitaweza sana sana za Mchina hazitoweza

Natumia Samsung Grand Prime nime weka tick ya Roaming kwenye network settings na nime set WCDMA Only

184fdceb117ab4744b2719752f80b23d.jpg

TZ01 ndio smart hao au rural netco...
 
Tangu jana natumia mtandao wa viettel kiukweli upo fasta Sana na 3g Yao. Wanafanya majaribio tu lakini nimewakubali,ngoja tusubiri uzinduzi rasmi wiki ijayo
We ni IT au vip cuz number of user affect speed sasa kama mpo kumi y isiwe fast
 
Samahani lakini,3g ni kitu kingine tofauti.(3g ina maana ya 3grammes) Hapa tunazungumzia 3G katika masuala ya mtandao,Yaani third Generation.:wink1:

GwaB nawe mpanaa! 3grammes!
 
Back
Top Bottom