Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
kaka APN ya HALOTEL ukiweka Internet inakataa, wao APN yao ni b-internet
Nimepata line nitaconfirm muda si mrefu
kaka APN ya HALOTEL ukiweka Internet inakataa, wao APN yao ni b-internet
Nimepata line nitaconfirm muda si mrefu
umeipata wapi mkuu! nahitaji na mm nijionee
Nenda ofisi zao tafuta mfanyakazi akusaidie kukusajili, mi mwenyewe kuna jamaa kanisaidia tu kunisajilia hakuna njia official ya kusajili watu WA kawaida hadi wazindue.
Hata mimi ka laini kangu ka Vodacom kako mashakaniKama ndo hayo mbona maisha ya laini yangu ya tigo yako mashakani
Hapana bhana, mbona Lindi laini zinapatikana hata kwa raia? Sema for the time being kv hawajazindua, watu wanatwanga tu madakika waliyopewa lakini hazitoki!Line wanapewa wafanyakazi na ndugu zao!! Hata mimi nnayo yaani usipime ... Iko fast sana
Office zao zipo wapi kaka.. Chief-Mkwawa
tabata bima ndipo nilipoenda mimi
kaka APN ya HALOTEL ukiweka Internet inakataa, wao APN yao ni b-internet
upo sahihi kaka hio uliotaja ndio ndio inayofanya kazi, maybe sababu hawajazindua bado baadae watabadilisha
na speed yangu hii hapa
![]()
![]()
hapa nilipo signal zao ndogo kidogo kama nikipata mahali ipo full nitapima tena speed
mkuu Chief-Mkwawa hapo unatumia modem au simu?
coz mimi kwenye modem yangu nikiweka mtandao unasoma vizuri kabisa lakini nikiconnect inagoma inaleta ujumbe am
Hii Ni simu na hotspot,
Kwa modem tengeneza configuration upya eka apn kama b-internet sababu apn ya kawaida haitakubali kama alivyosema Krama hapo juu
Burundi washaanza kuoperate wanatumia brand name ya Lumitel
hebu nipe hizo procedure za kuitengeneza hio APN kama picha inavyoonesha hapa
View attachment 297426