Viva viettel (halotel)

Viva viettel (halotel)

Sio imedumaa bali TTCL imedumazwa na Serikali yako uipendayo sana!

wazalendo kaeni mkao wa kula....TTCL imerudi upya kwa kasi ya ajabu.. be patient for a while...ni heroshima!!!!4G ya maana sio ya Tigo Mb 20 per backhaul
 
wazalendo kaeni mkao wa kula....TTCL imerudi upya kwa kasi ya ajabu.. be patient for a while...ni heroshima!!!!4G ya maana sio ya Tigo Mb 20 per backhaul
Hiyo 4G yao wameitangaza wapi?
Emu tupe basi hata link wakiongelea uzinduzi kama walivofanya Tigo
 
Wcdma ndio hio hio GSM, ttcl wana cdma au EV-DO

Huyo anaewashauri waende cdma sijui hata Ni nani?

Sorry nilimaanisha cdma
Wanabanwa na mkataba ule wa celtel hawatakiwi kuanzisha biashara ya GSM hili ndio tatzo... Watu waliiua... Sijui unaisha lini huo mkataba
 
wakaribie kabisa kwa mikono miwili tumechoka kuibiwa na hawa wa MB 8, SHENZI KABISA
 
Kwa huku tarime jana na juzi walipita wakihitaji mawakala na wote waliojitokeza walipewa line bure ikiwa na gb 5 dk hazina idadi,ila dk ni kwa ajili ya mtandao wao pekee.utaongea unavyotaka maana hata dk hazionekani.binafsi sikuipata line yao ila jumatatu nitawaibukia ofisini kwao ili nikaombe uwakala lakino nia yangu nipate hayo mgb kwa ajili ya makamuzi

Ofisi zao zipo wapi mzee?
 
Tarajieni Voda na tigo kushusha bei vibaya sana na kutoa mabando makubwa makubwa ya data

Furaha kwetu walaji

Voda kama vile wamekusikia umeona bei mpya za vifurushi!? Hapo bado wengine hawajajibu. Mbona Kazi Ni Kwako!
 
morogoro nako wasmeshskasmilishas ujenzi wa ofisi zao ni mwendo mdundo sasa, mtandao makini sana huu
 
Ndio maana tunataka mabadiliko kila sekta, hii ni dhuluma kwa waTZ
 

Attachments

  • 1444232298578.jpg
    1444232298578.jpg
    25.6 KB · Views: 324
Ndio maana tunataka mabadiliko kila sekta, hii ni dhuluma kwa waTZ

hilo ndio agizo la kutenganisha data na vifurushi vya maongezi. mfano wake chukulia muda wa maongezi ni kuku na data ni chips halafu serikali ipige marufuku chips kuku, ili upate chips kuku inabidi ununue chips kivyake (data) na kuku kivyake (maongezi). ila kwa huruma zao wauza chips(mitandao) waamue ukinunua kuku wanakuekea na vibale kidogo vya chips (mb 8).

mi nataka tu nijue hekima ya TCRA walioitumia hadi kuamua wavitenganishe hivi vifurushi.
 
Back
Top Bottom