Viva viettel (halotel)

Viva viettel (halotel)

Mabadiliko sio serikalin tu hata kwenye mitandao kiukweli haya mamitandao yametuchosha wanatunyanyasasa huwez fanya 500/=,1mb,40sms in 24hrs ivi hawajui nch hii inasikini weng yaan nchi hii shida tu kila kona usumbufu ukisemea umeme,bei ya vitu,haki zetu,hosptalin yaan nafikia sehemu nami nataka mabadiliko
 
Umeshindwa kujibu hoja unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango. Achana na mimi, jibu hoja zangu.

Kwa kukukumbusha tu, hata huu mtandao unaoutumia leo ulianzia "jeshini" USA.

Hahahaahaaaaa una hoja gani za kujibiwa na mimi wewe.. Narudia tena Leo kusema to me you are a meaningless idiot na hilo litabaki hivyo Kama kuna watu nilishawahi kuwadharau na kuwaona hamnazo na hawaambiliki wewe faizafoxy ni mmojawapo... Kwahiyo Usitake kutafuta kick kwa kuchokonoa post zangu... UKIAMBIWA sikia la sivyo utakuwa na matatizo ya akili
 
Haraka yote hiyo kisa alikuwa anataka kuniponda, akaishia kujiponda...

Mkuu Hapo unatwanga maji kwenye kinu ,kama unapenda kutumia pain killers endelea nae
Huyu bibi sijui ni kiumbe cha aina gani
 
Mkuu Hapo unatwanga maji kwenye kinu ,kama unapenda kutumia pain killers endelea nae
Huyu bibi sijui ni kiumbe cha aina gani

Nampotezea Sana tu lakini kuna wakati inabidi kumwambia kinachomstahili
 
Mabadiliko sio serikalin tu hata kwenye mitandao kiukweli haya mamitandao yametuchosha wanatunyanyasasa huwez fanya 500/=,1mb,40sms in 24hrs ivi hawajui nch hii inasikini weng yaan nchi hii shida tu kila kona usumbufu ukisemea umeme,bei ya vitu,haki zetu,hosptalin yaan nafikia sehemu nami nataka mabadiliko

Lengo Ni ununue vifurushi viwili, hivyo tafuta Kifurushi cha bei rahisi kila mahala viunganishe unaweza pata kifurush kizuri. Mfano Tigo wana Kifurushi cha 250 unapewa Mb 50 unganisha hicho na kifurush cha bei rahisi cha kuongea.

Wana kifurush cha saa na cha bure(12asbh-saa 3 asbh) unganisha na hivyo kama cha juu hakitoshi
 
Umeshindwa kujibu hoja unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango. Achana na mimi, jibu hoja zangu.

Kwa kukukumbusha tu, hata huu mtandao unaoutumia leo ulianzia "jeshini" USA.

Na unaoutumia wewe umeanzia wapi?
 
Umeshindwa kujibu hoja unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango. Achana na mimi, jibu hoja zangu.

Kwa kukukumbusha tu, hata huu mtandao unaoutumia leo ulianzia "jeshini" USA.

Mbona mimi nafahamu ni umoja WA ulaya ukishirikiana na Nokia, Alcatel, Ericsson na kampuni nyengine za ulaya.

Na simu ya kwanza ikipigwa na waziri Mkuu WA Finland (nyumbani kwa Nokia)

Na hadi Leo mitandao yetu ya simu isiponunua miundombinu kwa hao hapo juu basi labda ataongezeka huawei na zte sijawah sikia kampuni ya kimarekani ikiuza
 
kipind cha majaribio lazima mtandao uwe vzr kwa sbb watumiaji n wachache, ila ukianza kazi na jinsi wateja wanavyoongezeka ndivo mtandao utakavokuwa slow unless waongeze minara zaidi
so cha muhim n aina za huduma watakazotoa ndizo zitakazowaweka wateja otherwise watakuja na kukimbia

mkuu jibu zuri lilishatolewa kuwahusu halotel

Kwa lugha fupi halotel wana advantage sana ukilinganisha na kina voda, tigo n etc, ngoja nidadavue kidogo kuna njia kuu tatu za uunganishwaji ya hii minara ya simu mpaka kumfikia mtumiaji wa mwisho na simu, tablet au kifaa chochote, kuna copper cables, microwave, optic fiber kati ya hizi tatu njia yenye gharama nafuu kabisa ni microwave, na ya juu kabisa ikiwa ni optic fiber. Tukirudi kwa kampuni kama voda na tigo uunganishwaji wa mitandao yao kote nchini ni kwa njia ya microwave na optic fiber, optic fiber ikitumika kwenye masafa marefu kuunganisha hub mbali mbali, mfano dar-moro, moro-dom ila wakishafika iwe dom, moro na kwingineko microwave backhaul hutumika kwa hiyo katika mkoa mmoja wapo minara mingi kama sio yote itaendeleza muunganisho wa mtandao husika wirelessly, kwa hiyo minara ya voda ina majukumu mawili kutoa muunganisho kwa mteja (wirelessly) na kwa minara iliyo karibu yake hivo hivo (wirelessly) lakini hii ni tofauti kwa halotel minara yao yote imeunganishwa na Optic fiber kwa hyo kazi ya minara yao ikibaki kutoa muunganisho kwa wateja wa mwisho tu (wirelessly)[na ndio maana minara yao inaonekana midogo kwasababu kazi kubwa imebebwa na optic fiber] , kama inavyofahamika optic fiber ina advantage kubwa ukilinganisha na microwave kwanza ina kinga dhidi ya interference mbalimbali, kama hali ya hewa, electrical, mechanical(vibrations), Bandwidth kubwa, speed na nyingine kedekede kwa hiyo tutegemee huduma nzuri kutoka kwa hawa jamaa, kuna sehemu mvua ikinyesha tu simu hazitoki haya yote yatasahaulika.
 
Hahahaahaaaaa una hoja gani za kujibiwa na mimi wewe.. Narudia tena Leo kusema to me you are a meaningless idiot na hilo litabaki hivyo Kama kuna watu nilishawahi kuwadharau na kuwaona hamnazo na hawaambiliki wewe faizafoxy ni mmojawapo... Kwahiyo Usitake kutafuta kick kwa kuchokonoa post zangu... UKIAMBIWA sikia la sivyo utakuwa na matatizo ya akili

Utabwabwaja na kuhororoja sana lakini kumbuka kuwa nilishakwambia ukidanganya tu utaniona, mpaka ujuwe maana ya ukweli ni nini.

Na unajuwa nnavyokubamba mpaka unashindwa kujibu hoja unakuja kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
 
Utabwabwaja na kuhororoja sana lakini kumbuka kuwa nilishakwambia ukidanganya tu utaniona, mpaka ujuwe maana ya ukweli ni nini.

Na unajuwa nnavyokubamba mpaka unashindwa kujibu hoja unakuja kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Pyuu uchafu mwingine huu, umeona alichoongea Chief-Mkwawa? Hata kumjibu umeshindwa... Una ukweli gani wewe unaojivunia? Mara ngapi tumekutoa knockout wewe nanihii? Una hoja ipi ya kujibiwa? Wewe ni nani kwangu? You are so silly you old rag thinking you know everything, 1444707570670.jpg huwa sikutofautishi na hilo zimwi
 
Last edited by a moderator:
Pyuu uchafu mwingine huu, umeona alichoongea Chief-Mkwawa? Hata kumjibu umeshindwa... Una ukweli gani wewe unaojivunia? Mara ngapi tumekutoa knockout wewe nanihii? Una hoja ipi ya kujibiwa? Wewe ni nani kwangu? You are so silly you old rag thinking you know everything, View attachment 298128huwa sikutofautishi na hilo zimwi

Si Chief-Mkwawa tu ambae sijamjibu, ni wengi walio comment sijawajibu na wala sina haja ya kuwajibu, mimi hapa nipo kukupa wewe darsa ili uache uongo, wengine hao hawaelewi hilo.

Nnafurahi kuwa umeanza kuacha kutuma ule uongo wako wa kijinga lakini bado hujanyooka kabisa, utanyooka tu. Ukipenda usipende - kumbuka hilo.
 
Last edited by a moderator:
Si Chief-Mkwawa tu ambae sijamjibu, ni wengi walio comment sijawajibu na wala sina haja ya kuwajibu, mimi hapa nipo kukupa wewe darsa ili uache uongo, wengine hao hawaelewi hilo.

Nnafurahi kuwa umeanza kuacha kutuma ule uongo wako wa kijinga lakini bado hujanyooka kabisa, utanyooka tu. Ukipenda usipende - kumbuka hilo.

Kwako mshana jr ni habari nyingine ndio maana huishi kumshobokea hata baada ya kupewa live na kuwekwa kwenye ignore list yake.
 
Last edited by a moderator:
Kwako mshana jr ni habari nyingine ndio maana huishi kumshobokea hata baada ya kupewa live na kuwekwa kwenye ignore list yake.

Wewe bwabwaja na kuhororoja lakini darsa linakuingia na umepunguza uongo. Inapaswa unishukuru kwa hilo.

Na bado.
 
Back
Top Bottom