Viva viettel (halotel)

Viva viettel (halotel)

msaada nimeweka line ya halotel kwenye simu haikubali kuunga net lakini sms na call ziko vizuri

apn yao ni b-internet kama unajua maana yake eka mwenyewe

kama huelewi hapo juu tuma neno CONFIG kwenda 15503
 
Kuna tetesi kuwa hawa jamaa watatoa internet bure vijijini kwa miaka3 tangu uzinduzi
 
Kuna tetesi kuwa hawa jamaa watatoa internet bure vijijini kwa miaka3 tangu uzinduzi
Wanatoa Internet bure kwa shule tatu katika kila kijiji, hayo ndio yalikuwa makubaliano yao na serikali Kabla ya kupewa tenda.
 
anaejua atupe ufafanuzi basi zinapatikana wapi kwa dar??

Kitaani sijaziona line zao so waibukie katika ofisi zao.
1.Tandika
2.Tabata bima
3.Mikocheni{Victoria}
Kusajili line ni buku na vocha zao utazipata huko huko.
 
Washaanza kuingia kitaani me nimrsajili juz tu na SIJUTI...IPO faster ..huduma nzuri
Nimehama vodaukoma jumla
 
Nilijiunga nao nikaona kuwa karibu ya kijijini kwetu "Canada" Mkuranga, Internet yao haishiki vizuri nikaamua kuitoa sim kadi yao kwenye simu yangu, cha kushangaza ni kwamba wameniachia kirusi, kila simu nnapoizima na kuiwasha unakuja ujumbe "hongera umepokea dakika 30 ya muda wa maongezi...".

Ni kirusi na uongo mtupu kwani situmii mtandao wao, ajuae namna ya kuutoa huo ushuzi wao anijuze.
 
Nilijiunga nao nikaona kuwa karibu ya kijijini kwetu "Canada" Mkuranga, Internet yao haishiki vizuri nikaamua kuitoa sim kadi yao kwenye simu yangu, cha kushangaza ni kwamba wameniachia kirusi, kila simu nnapoizima na kuiwasha unakuja ujumbe "hongera umepokea dakika 30 ya muda wa maongezi...".

Ni kirusi na uongo mtupu kwani situmii mtandao wao, ajuae namna ya kuutoa huo ushuzi wao anijuze.

Dada FF kumbe ni mtu wa njia ya kwetu kusini.

Nilikua sijajua hilo.

Sent from my G630-U10 using JamiiForums mobile app
 
msaada nimeweka line ya halotel kwenye simu haikubali kuunga net lakini sms na call ziko vizuri
Nenda setting kakorofishe zile save za Network operator...kassave (kabadilishe)
Ningetuma screen short bila msimu yangu inazingua

Mimi baada ya kuweka line yao nilikua ivo pia bila nilienda setting sasa swaaaaaaf
 
Back
Top Bottom