Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
nimeangalia picha za juu ni kwamba kuna process ya modem ambayo inaizuia dashboard yako isifanye kazi restart pc lile tatizo litaisha
ngoja nijaribu kufanya ivo then ntaleta mrejesho
nimeangalia picha za juu ni kwamba kuna process ya modem ambayo inaizuia dashboard yako isifanye kazi restart pc lile tatizo litaisha
Modem ya Safaricom inakuja na Settings za Safcom na nahisi ukichunguza utakuta APN,username na pass pamoja na Proxymkuu Chief-Mkwawa hapo unatumia modem au simu?
coz mimi kwenye modem yangu ya Universal nikiweka mtandao unasoma vizuri kabisa lakini nikiconnect inagoma inaleta ujumbe ambae siuelewi elewi
View attachment 297412
huu ndo ujumbe wenyewe
View attachment 297414
nikisearch manually inasemoma mitandao hii
View attachment 297417
sijui hapo tatizo ni nini

upo sahihi kaka hio uliotaja ndio ndio inayofanya kazi, maybe sababu hawajazindua bado baadae watabadilisha
na speed yangu hii hapa
![]()
![]()
hapa nilipo signal zao ndogo kidogo kama nikipata mahali ipo full nitapima tena speed
Vifurushi vyao vya internet vipoje?
I mean vifurushi vya siku, mwezi, wiki. Na gharama zao zipoje?
Wameshaanza kugawa moderm zao?
vyote bado wanasema *148*66# ni kama namba ya kujiungia ila haifanyi kazi so far naweza angalia salio (*102#), salio la kifurushi kinachokuja na line (*102*01#), na usajili tu (*106#)
modem nadhani bado hawajaanza kutoa ila ni vyema ukawa na modem yako universal si vyema kuwa locked mtandao mmoja hasa Tanzania.
vyote bado wanasema *148*66# ni kama namba ya kujiungia ila haifanyi kazi so far naweza angalia salio (*102#), salio la kifurushi kinachokuja na line (*102*01#), na usajili tu (*106#)
modem nadhani bado hawajaanza kutoa ila ni vyema ukawa na modem yako universal si vyema kuwa locked mtandao mmoja hasa Tanzania.
Moderm universal unawekaje settings?
Network yao haijawa na wateja wengi bado ndio maana!Tangu jana natumia mtandao wa viettel kiukweli upo fasta Sana na 3g Yao. Wanafanya majaribio tu lakini nimewakubali,ngoja tusubiri uzinduzi rasmi wiki ijayo
Vietel ni jeshi la Vietnam, pamoja na matatizo yoote waliyonayo wameweza kuja kuwekeza nje ya mipaka yao. .hongera zao lakini VP KUHUSU TTCL YETU?
Kwanini tTCL ni ya jeshi?
Haujuwi kuwa "matatizo" ni mlango wa fursa? Bila kuwa na tatizo utaipata wapi fursa? Tumia kichwa chako japo kwa kufikiri kiduchu, si kibaki kuwa ni mzigo tu mabegani mwako.
Kwanini tTCL ni ya jeshi?
Haujuwi kuwa "matatizo" ni mlango wa fursa? Bila kuwa na tatizo utaipata wapi fursa? Tumia kichwa chako japo kwa kufikiri kiduchu, si kibaki kuwa ni mzigo tu mabegani mwako.
intanet inataka kuwa ya gharama sana nchi hii,,,,,ila msihofu,rais magufuli atarekebisha hali hii
Mkwawa,nina line ya Halotel kwenye simu internet haifungui...kila nikjaribu Home page inakuja yao Halotel na inakua undee constrution..nimebadili home page bado inakataa,tatizo itakua ni nini?
Hivi una nini wewe mbona huishi kujipendekeza kwangu? There must be something very wrong on your medula
tTCL ni kitu gani ??? Haujuwi = haujui
Hizo shule mlienda kusomea ujinga ??