Visit Rwanda - Twende Rwanda rafiki

Visit Rwanda - Twende Rwanda rafiki

Seran

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
31,584
Reaction score
90,447
30A1A739-5829-4452-A8CE-C3505A4E0DBE.jpeg

🌍 TUNARUDI TENA RWANDA 2026 🇷🇼
Kama ulikosa 2026, basi usipange kukosa tena!

Tunakupeleka kwenye safari ya kipekee ya Rwanda kuanzia
📅 Tarehe 4 hadi 7 Mwezi wa 4 (Aprili)

🔔 Fanya booking mapema ili kuepuka kukosa nafasi, kwani nafasi ni chache na mahitaji ni makubwa.

💰 Gharama: Tsh 390,000/= kwa mtu
📍 Kutokea Mwanza

💼 Gharama hii itahusisha:
✔️ Usafiri wa kwenda na kurudi
✔️ Hotel (malazi bora)
✔️ Breakfast
✔️ Guide fees
✔️ Entrance fees kwenye vivutio
✔️ Safari iliyoandaliwa kwa ratiba nzuri na ya kufurahia

✨ Kwa nini uchague sisi?
👉 Sisi ni Visit Lake Zone,
👉 Tunaandaa tour za kiwango cha juu
👉 Kwa gharama nafuu sana
👉 Huduma bora, usalama na experience ya kukumbukwa

📌 Hii ni safari ya burudani, mapumziko na kujifunza —
usipange kukosa!

📞 Wasiliana nasi sasa kwa booking na maelezo zaidi
Nafasi zikijaa, safari imejaa!
 
Tunalo group kwaajili ya safari

Mpka sasa tumeanza kujuzana na kupeana ndondondo za safari.

Pamoja na Sheria tutakazo fuata kama group trip...


Natuma hapa ili uone ikiwa unaweza join us
 
"habari za leo.


Katika kuelekea safari yetu, ningependa kugusia machache kuhusu utaratibu wetu:

1. Mchanganyiko wa Washiriki: Safari yetu inajumuisha watoto, wazazi, na wanandoa. Hivyo, ustaarabu na lugha nzuri ni kipaumbele chetu.

2. Miongozo (Guidelines): Naandaa ratiba na sheria ndogo zitakazotuongoza ili kumlinda kila mshiriki na kuhakikisha maslahi ya wengi yanazingatiwa.

Lengo: Ni kufurahia pamoja bila kuathiri faragha au amani ya mwingine.

Ratiba kamili nitawatumia hivi punde. Asanteni kwa ushirikiano wenu."
 
View attachment 3532841
🌍 TUNARUDI TENA RWANDA 2026 🇷🇼
Kama ulikosa 2026, basi usipange kukosa tena!

Tunakupeleka kwenye safari ya kipekee ya Rwanda kuanzia
📅 Tarehe 4 hadi 7 Mwezi wa 4 (Aprili)

🔔 Fanya booking mapema ili kuepuka kukosa nafasi, kwani nafasi ni chache na mahitaji ni makubwa.

💰 Gharama: Tsh 390,000/= kwa mtu
📍 Kutokea Mwanza

💼 Gharama hii itahusisha:
✔️ Usafiri wa kwenda na kurudi
✔️ Hotel (malazi bora)
✔️ Breakfast
✔️ Guide fees
✔️ Entrance fees kwenye vivutio
✔️ Safari iliyoandaliwa kwa ratiba nzuri na ya kufurahia

✨ Kwa nini uchague sisi?
👉 Sisi ni Visit Lake Zone,
👉 Tunaandaa tour za kiwango cha juu
👉 Kwa gharama nafuu sana
👉 Huduma bora, usalama na experience ya kukumbukwa

📌 Hii ni safari ya burudani, mapumziko na kujifunza —
usipange kukosa!

📞 Wasiliana nasi sasa kwa booking na maelezo zaidi
Nafasi zikijaa, safari imejaa!
Kuona nini!? Manyani na Sokwe au !?
 
🌍 SAFARI MAALUM YA KIGALI – RWANDA KUTOKA MWANZA 🇷🇼

Tunakuandalia safari ya kipekee kwenda Kigali, Rwanda kutoka Mwanza kwa gharama ya Tsh 390,000/= tu.

📌 Kifurushi hiki kinajumuisha:
✅ Usafiri wa kwenda na kurudi
✅ Hotel nzuri na salama
✅ Breakfast kila siku
✅ Tour guide fees zote
✅ Ziara za kujifunza tamaduni na utamaduni wa Rwanda

💳 Malipo unaweza kufanya kwa awamu ili kujihakikishia nafasi mapema.
⚠️ Nafasi ni chache, wahi kabla hazijaisha.

Njoo tusafiri, tujifunze, turefresh mawazo na kufurahia uzuri wa Rwanda – nchi ya nidhamu, utamaduni na maendeleo.

Karibu usafiri wa uhakika na wa kumbukumbu. ✨
Kuona nini!? Manyani na Sokwe au !?
 
Back
Top Bottom