Visit Rwanda - Twende Rwanda rafiki

Visit Rwanda - Twende Rwanda rafiki

Hahaha ntampa babe😂
Mpe umtoe wenge..!! 😹😹
Hiyo siku atazima, na umpe kisawasawa mpaka aje aanzishe uzi 🤣🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️
 
Mpe umtoe wenge..!! 😹😹
Hiyo siku atazima, na umpe kisawasawa mpaka aje aanzishe uzi 🤣🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️
Khaaa ila lamo😂😂😂😂😅😅😅 hebu muache mwenzio muaminifu, unataka aanze kuchakata za jukwaa zima🤣
 
Mbona unamuandama babe wangu lamomy😂😂😂hebu mpumzishe mambo ya past tuachane nayo
Treeeenaaaah 👌😹😹
Watu na mabebe zenu!!

Basi nimeacha ila umpe kweli mwanangu sasa sio unamjaza tu hapa maghetoni huendi..!! 😹
 
This is not my business, hatuendi kwaajili ya clubs na madem.. and ninatafuta watu wakujoin group letu tunasafiri sehemu nyingi, hii safari tumeshaenda last year watu wameipenda na wanataka irudiwe na haiwezi kughairrishwa tukitoka hii tunaingia dubai in Mombasa!
Thanks for your opinion☺️
Mimi nasema Rwanda ni kama watu wako jela. Yaani hawana uhuru. Ndio maana nikakwambia kama unafanya kibiashara. Andaa tour za Nairobi na Kampala.
 
Back
Top Bottom