Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,717
- 50,049
😃😃 hii salamu ya wema lakin?
Huenda indirectly unatulipia panapopungua!😃😃 hii salamu ya wema lakin?
Kwa nini niwalipie bwashee?😆Huenda indirectly unatulipia panapopungua!
Kiasi Vs PackageKwa nini niwalipie bwashee?😆
Kiazi au kiasi ?Mbona sijamuelewa kiazi ni nani na package ni nani😂
Acha kutishia watu nyau, huko makambako umefika lini?Have you been in Miami?
mkitoka rwanda mje kwa babu Trump.
Acha utapeli, utakufa vibaya wewe.🌍 SAFARI MAALUM YA KIGALI – RWANDA KUTOKA MWANZA 🇷🇼
Tunakuandalia safari ya kipekee kwenda Kigali, Rwanda kutoka Mwanza kwa gharama ya Tsh 390,000/= tu.
📌 Kifurushi hiki kinajumuisha:
✅ Usafiri wa kwenda na kurudi
✅ Hotel nzuri na salama
✅ Breakfast kila siku
✅ Tour guide fees zote
✅ Ziara za kujifunza tamaduni na utamaduni wa Rwanda
💳 Malipo unaweza kufanya kwa awamu ili kujihakikishia nafasi mapema.
⚠️ Nafasi ni chache, wahi kabla hazijaisha.
Njoo tusafiri, tujifunze, turefresh mawazo na kufurahia uzuri wa Rwanda – nchi ya nidhamu, utamaduni na maendeleo.
Karibu usafiri wa uhakika na wa kumbukumbu. ✨
Kuwa makini sana na huo utapeli unataka kufanya hapaSawa
Wewe ni tapeli tuSawa
Mkuu kama nafasi ni chache nani unamtangazia sasa?View attachment 3532841
🌍 TUNARUDI TENA RWANDA 2026 🇷🇼
Kama ulikosa 2026, basi usipange kukosa tena!
Tunakupeleka kwenye safari ya kipekee ya Rwanda kuanzia
📅 Tarehe 4 hadi 7 Mwezi wa 4 (Aprili)
🔔 Fanya booking mapema ili kuepuka kukosa nafasi, kwani nafasi ni chache na mahitaji ni makubwa.
💰 Gharama: Tsh 390,000/= kwa mtu
📍 Kutokea Mwanza
💼 Gharama hii itahusisha:
✔️ Usafiri wa kwenda na kurudi
✔️ Hotel (malazi bora)
✔️ Breakfast
✔️ Guide fees
✔️ Entrance fees kwenye vivutio
✔️ Safari iliyoandaliwa kwa ratiba nzuri na ya kufurahia
✨ Kwa nini uchague sisi?
👉 Sisi ni Visit Lake Zone,
👉 Tunaandaa tour za kiwango cha juu
👉 Kwa gharama nafuu sana
👉 Huduma bora, usalama na experience ya kukumbukwa
📌 Hii ni safari ya burudani, mapumziko na kujifunza —
usipange kukosa!
📞 Wasiliana nasi sasa kwa booking na maelezo zaidi
Nafasi zikijaa, safari imejaa!
Kijana ebo! Hebu kuwa na adabu basi, ya nini kuharibu biashara za watu kwani umemsikia wapi amelazimisha mtu?Wewe ni tapeli tu