Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,541
- 3,523
nilikuwa nakereka sana ile umechukua kikopo cha babycare kwenda kupiga penzi binafsi bafuni ukiamini hakuna mtu wote wapo madarasani mara linaamka doja kutoka bweni lingine linakuja kuswaki kwenye slabs za bafuni ilihali nje huko kuna slabs zingine lingeweweza kuswakiTupia kisa chako kilichokua kinakuudhi kipindi upo high school
Cha kwangu kilichokua kinaniudhi ni ile tabia ya baadhi ya wanafunzi maarufu kama wasongo kujua ratiba zote za shule kubwa kubwa mf Feza schools, Tabora boys , Tosamaganga, Minaki n.k
Tabia hiyo ilikua inaniudhi Sana ingawa nilikuwa vizuri kimasomo pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
