Visa vinavyoudhi high Schools (Advance)

Visa vinavyoudhi high Schools (Advance)

Jokate kawaletea maji au bado mnatumia maji ya pond?
Kisa kingine kilichoniuzi ni watu kusoma tuition kabla ya kuja form 5 yaani naingia darasani nusu ya darasa wamemaliza topic za form 5 PCM Minaki na Chand wamesoma,wakati mi nimetoka kuchunga mbuzi😁
 
lile kaburia kubwa la pale shauritanga na skendo kuwa shule itakuja kuunguwa tena basi ilikuwa noma sana.
 
Kisa kingine kilinigusa nikiwa O level this time pale Rugambwa secondary ni kuchota maji kwenye kijito kipo kwenye mawe.Sasa hapo mkiwa zamu ya kuchota maji ya jikoni. Kaka Hansi kule jikoni anasema maji bado ongezeni tena.
Ukizingatia ziwa Victoria lipo Bukoba,ila shule maji ya tabu.
Pia vyoo vilikuwa vinajaa inabidi kuzibua.
Sitasahau kuna vyoo tulikuwa tunaviita Ihungo vilikwa vichafu.
Nikiwa O level pia nikahamia Korogwe girls huko napo nikakuta shida ya maji,kubeba ndoo kwenda kuteka maji idara ya maji.
Kuchunga ng'ombe,mchaka mchaka asubuhi. Acha kabisa.
Shamba sasa mwalimu Manento na fimbo zake,Cheka nikuue yule mwalimu anakuchekea huku anakuchapa.
Infwact shule za serikali boarding zilitupa jambajamba.
Niliapa sitakubali mwanangu asome shule ya boarding ya serikali wala ya private.
Ila tulipata ujasiri wa kupiga shule.
Inshallah Mungu akatuvusha.
 
Ihungo mastery for rpm..Form 5 yote mtatumia kufweka na kufanya usafi wa mazingira
Ihungo. Pale Rugambwa kuna vyoo vinaitwa Ihungo. Vipo upande ilipo shule yenu. Ukiwa kwenye hivyo vyoo unaona mlima ilipo shule yenu.
 
Back
Top Bottom