Visa vinavyoudhi high Schools (Advance)

Visa vinavyoudhi high Schools (Advance)

Tupia kisa chako kilichokua kinakuudhi kipindi upo high school

Cha kwangu kilichokua kinaniudhi Ni ile tabia ya baadhi ya wanafunzi maarufu Kama wasongo kujua ratiba zote za shule kubwa kubwa mf feza schools, tabora boys , tosamaganga, minaki n.k

Tabia hiyo ilikua inaniudhi Sana ingawa nilikuwa vizuri kimasomo pia.

Sent using Jamii Forums mobile app


Elimu ya Tanzania ni ya kisenge sana, mtu unaonaje ujiko kujiita msomi ikiwa unakairi tu mistari ya vitabu? Unapoteza muda kibao kukariri vitu mwisho wa siku unakuja kuharibikiwa ukubwani na kuwa mpiga nyeto mashuhuri ukifidia miaka ya shule kukariri vitu visivyo na faida.
 
Tabia ya kuanuliana mashati pale PUGU ukifua linda shati au nguo zako jifanye mwehu uziache jumatatu utavaa shati la kuazima form one.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilikuwa nafua jumamosi asubuhi baada ya pora naenda zangu kufulia pond,ukifika muda wa wali nguo zishakauka napandisha zangu kupiga kipunga,baada ya kipunga ni kudrop hapo tuonane j'tatu asubuhi parade😀😀
 
Mimi nilikuwa na mabifu na walimu kisa nilkuwa na dem mkali shule nzima wanamtolea macho. Walimu waliokuwa wanamtaka walinichukia kiasi kuwa nikipita tu hata mbele ya office wanafungua file langu nakuanza kujadili.

Nakumbuka ilifikia hatua classmates wangu wakitaka kudodge clac, wahakikishe kwanza kama mimi sija dodge. Maana nilikuwa nikidodge tu lazima nitaftwe. Na wakinikosa wanamtafta GF wangu. Wakimkosa wanajua tupo wote.

Sent using Jamii Forums mobile app

🤣


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kipindi nasoma high school shule moja maarufu Sana tabora tulimiliki simu karibia wanafunzi wote wa darasani kwangu, miaka iyo form 5 nilifanikiwa kupata pisi Kali ya chuo furani pale tbr...
hii kama sio kwa WALAMBO palee
 
Tarime Boys Secondary!! Hii Shule ni kambi ndogo ya Jeshi chini ya Mwalimu Wambura Mwalimu wa mazingira almaarufu Kama Gaddafi alikuwa anatembeza bakora haswaaa, Utafyeka kule mvua zilikuwa karibia mwaka mzima usipofyeka week tu umeharibu kazi, kudeki CUBIC inakaguliwa Ijumaa kwa kulambisha kidole ole wako kidole kiinuke na vumbi!!

Mbaya zaidi kule DH_Dinning Hall mkiwa zamu kudeki kila siku usiku Baada ya Dinner akute Kuna harage Hata moja tu limebaki chini mtadeki Mwezi mzima na mkiwa wengi mtapiga Hata miezi miwili!!

Kupeleka maji jikoni mota ikiharibika mpo class mnameza taratibu mnaambiwa jikoni Hakuna maji mtajaza tank mom Basi!!!

Hakuna mabafu kulikuwa na Vyoo tu, kuoga utaoga popote unapojua watu wanachambia kila Aina ya material wakija zibua vyoo Hadi Gunzi yanaibuliwa!!

Ilibiditi tuoge mtoni tu hasa siku ya Wali mapema upo DH ukilegea kidogo unakuta kundi washagawana unabaki unalengwa lengwa machozi tu!!!!

Typed Using KIDOLE
 
Mi nilikuwa nafua jumamosi asubuhi baada ya pora naenda zangu kufulia pond,ukifika muda wa wali nguo zishakauka napandisha zangu kupiga kipunga,baada ya kipunga ni kudrop hapo tuonane j'tatu asubuhi parade
Hahaha ule wali wa pugu eti unkaa unaupigia mahesabu maisha haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom