Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

watu ambao hawajawahi kunywa wanahisi ni ujinga ila kesho ndio akili zinarudi unaon aulizingua...pole sanaa
Kuna siku nilienda na 30k viwanja, ( yaan kula na kunywa chupa ya wine moja)

Baada ya ile wine kuisha, nilisaka ATM mpaka nikaipata nikachomoa laki, nikawanunulia mashost wine na Mimi mwenyewe

Asee kesho yake nilijuuuta balaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]
tu
 
Gambe inanipa fedhea Sana mtaani ..yani nikilewa nakua na furaha Sana mixer kurap ,kuongea Sana ,kesho yake balaaa hangover , uzuni moyoni, najiona mkosaji Sana , nikipishana na mtu tu akanisalimia kwa kunichangamkia najua tayari hapo anakupunga chenga zaku za ulevi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka kadhaa iliyopita Jumapili moja wife aliniomba nikamletee mahitaji kama kilomita 3 hivi, nikamchukua last born wangu tukaenda, tumetoka sokoni wadau wananiita nikamuacha mtoto kwa gari zaidi ya nusu saa napiga konyagi, mvua ikaanza kunyesha ikabidi tuondoke tayari niko maji mbaya. mtoto kuona spidi kubwa akaamia siti ya katikati na ndio ikawa pona yake. Niliingia nyuma ya roli la mchanga nikazindukia hospitali na mtoto akapona, sijawahi tena kuendesha gari na mtoto mwenyewe hawezi kubali nimuendeshe
Na bora mtoto anavokataa umuendeshe wew sio kabsa
 
Back
Top Bottom