CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,167
- 24,123
Jaribukitu gani tunajaribu mara moja tu
Jaribukitu gani tunajaribu mara moja tu
Hiyo Pombe siyo nyingi sana, Ila muda uliotumia kunywa ndiyo mchache saa mbili mpaka saa saba ni wastani wa bia nne mpaka tano kwa lisaa, ni mbaya sana hiyo...Pombe ilikuwa nyingi sana, nikawa siwezi kula na nikatapika sana
Hakuna mtu asiyelewa Pombe...nasisitiza hayupo kwenye Dunia hii...Iweje wanywaji wengine hawalewi? Ni pombe gani ambayo inalewesha kwa haraka? Kwanini wanywaji wengine wanaenda kujisaidia mara kwa mara, na wengine hawaendi kujisaidia wanapokunywa? Kuna semi kuwa mhudumu wa bar akitaka mteja wake alewe na apoteze chaneli huwa wanachanganya na Ugoro?
so unauweka mdomoni kama kuberi auJaribu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nielekeze jinsi ya kutumia ugoro then ntaleta mrejeshoUkitaka kupata near death experience kunywa pombe alafu utupie ugoro umeze na mate bahati mbaya!
Utataapika kesho asubuhi hangover yake Ni balaa
hivi kuna tofauti kati ya mara na musoma[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Tarime
Komaa mkuu lakini pia mkazo kwenye Imani ni muhim sana,kama ni mkristo basi funga na kuomba hata kwa siku 7.Majanga na madhara iliyoniletea mimi si haba, mengine wacha nibaki nayo. Ningeweza kuwa nakunywa hata vibia vitatu nikaenda kulala ingekuwa sawa. Ila siku hizi bia zilikuwa hazipiti kabisa kooni ni vitu vikali tu. Nikifikisha hata mwezi nitaanza kuona mwanga
umeshawahi kupitia matatizo mpaka ukafunga na kuomba?Komaa mkuu lakini pia mkazo kwenye Imani ni muhim sana,kama ni mkristo basi funga na kuomba hata kwa siku 7. Nguvu ya Imani ni ya ajabu sana kwenye kusaidia mtu kupitia changamoto, kama wewe ni muislam basi omba muongozo kwa viongozi wako wa kidini.
Poapoa mrLilikuwa na bima kubwa so walilipa lakini ilinitoka pesa ya kutosha tu ili kuweka mambo sawa. Mbele ya gari hapatamaniki
MmHakuna mtu asiyelewa Pombe...nasisitiza hayupo kwenye Dunia hii...
Hiyo Pombe siyo nyingi sana, Ila muda uliotumia kunywa ndiyo mchache saa mbili mpaka saa saba ni wastani wa bia nne mpaka tano kwa lisaa, ni mbaya sana hiyo...
Poa mkuu sema kuna mengi sijasema kwa sababu ya muda, nimetenbea sanakwenye maombi na kwa waganga ndo usiseme. Nadhani niendelee tu maadamu maisha yanaendaKomaa mkuu lakini pia mkazo kwenye Imani ni muhim sana,kama ni mkristo basi funga na kuomba hata kwa siku 7. Nguvu ya Imani ni ya ajabu sana kwenye kusaidia mtu kupitia changamoto, kama wewe ni muislam basi omba muongozo kwa viongozi wako wa kidini.
Ndiyo mkuuumeshawahi kupitia matatizo mpaka ukafunga na kuomba?
Mkuu pambana uache asee,zimekutesa SanaPoa mkuu sema kuna mengi sijasema kwa sababu ya muda, nimetenbea sanakwenye maombi na kwa waganga ndo usiseme. Nadhani niendelee tu maadamu maisha yanaenda
Unalewa bia mkuu..8%Kuna pombe hio inaitwa 211 kule ughaibuni nilikunywa kopo mbili halafu nilikwenda club. Yaani nilikuwa najiona kama Superman mikono kama ndege inayotaka kuruka. Nikaingia club nikamchapa mzungu flani nikatolewa nje nikaanza kuwatukana mabausa sijui kilitokea nini ila niliishia hospital wiki 2 na miezi 6 home.[emoji23][emoji23]
View attachment 1576989
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
ikawaje mwisho wake?Ndiyo mkuu