I hope jamaa wa ufipa walirecharge tigo yakoSita sahau siku hiyo nimekunywa pombe badala ya kwenda Lumumba aisee nikaelekea pale ufipa tena nakumbuka nilimkuta mwenyekiti wao na makamu wake.
Ila kwa bahati nzuri sijui mbaya nao walikuwa washazitwika tani yao.
🤣🤣🤣🤣Sita sahau siku hiyo nimekunywa pombe badala ya kwenda Lumumba aisee nikaelekea pale ufipa tena nakumbuka nilimkuta mwenyekiti wao na makamu wake.
Ila kwa bahati nzuri sijui mbaya nao walikuwa washazitwika tani yao.
Hii sio pombe, niujingaNikiwa nimepanga Temeke, majirani zangu walikuwa wakishakunywa pombe zao dah! Unajua tena nyumba ya kupanga lakini wao wakishalewa unakuta mtu kwa kisingizio cha pombe anaingia chooni na kuharisha na kueneza chooni kote, kibaya zaidi hata kujitawaza hakumbuki na wala kusafisha kule alikotapakaza kinyesi hakumbuki, then najikuta labda usiku wa manane ndio nimebanwa haja, mtu unaingia toilet unakuta kuko nyang'anyang'a. Yaani ile hakufai kabisa halafu kinyesi kishakauka [emoji2817][emoji2817][emoji2817]
Walevi muda mwingine mnaboa bana!!
Sasa huo ujinga umesababishwa na nini?Hii sio pombe, niujinga
Njemba inaitwa KENONKE. Yule jamaa alikuwa anaua kisha hachukui hata mia mbovuHawa
Aliwahi kutokea muuaji mmoja wa bunduki pale Tarime, Hawa jamaa zangu wakawa miongoni wa waliopigwa risasi na kufariki.
Hii ilifanya watu wasisafiri usiku. Jamaa alipita kama anawasaidia, akawaua. Fundi alikuwa uvunguni mwa gari na ndiye aliyeelezea kisa chote maana kwa bahati yeye hakuonekana.Mojawapo aliharibikiwa na gari usiku akampigia mwenzake akamsaidie. Mdunguaji akapita nao, na waliwahi kufanya kazi sehemu miaka ya nyuma
Amini kwamba kama wewe ni msafi hata ukilewa hauwezi kufanya upuuzi huo, na iwapo utajijua kuwa ukilewa unafanya mambo ya ajabu lazima utajizuia kwasababu ya aibuSasa huo ujinga umesababishwa na nini?
Na ndio maana pombe ni haramu hakuna usafi ndani ya pombe! Pombe ni mama wa maasi.Amini kwamba kama wewe ni msafi hata ukilewa hauwezi kufanya upuuzi huo, na iwapo utajijua kuwa ukilewa unafanya mambo ya ajabu lazima utajizuia kwasababu ya aibu
Piga Fundo moja LA mwisho,utakuja kunishukuru!Natamani Sana kuacha pombe Ila naendelea kupambana Mungu anisaidie tu
Kama Kuna njia ya kuacha wakuu tusaidiane Mana inatuingiza loss Sana
Natamani Sana kuacha pombe Ila naendelea kupambana Mungu anisaidie tu
Kama Kuna njia ya kuacha wakuu tusaidiane Mana inatuingiza loss Sana
AiseeKuacha usinywe bia au pombe ya kwanza
Imenipotezea ajira 2 za nguvu.Pombe imeninyima ajira kwa miaka 5